Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu punguza ujuajiSasa mkuu unacho ongea mbona kiko wazi kama uchi wa mbuzi
Twende tunduma mkuu upunguze ukali wa maisha...ila ss tahadhali kama unamtaji mil 10 hakikisha unapending ya mil 5 cash kilinda mfuko🤣Basi hayo ni Magendo/ smuggling
Unampoteza bossDrug dealer
"Price, place,promotion and product "Sijajua mtaji wako ila ukijikita humu utatoboa:
1. UDALALI WA AKILI.
2. Spare parts za magari au bajaji au pikipiki ni machaguzi yako tu.
2. Hardware hapa unaweza ukawa unauza vifaa vyote vya ujenzi au ukajikita kwenye umeme tu au tiles tu au cements tu au mabomba tu av chuma tu machaguo ni juu yako.
3. Modern Paving yaani kuanzia uzalishaji wake hadi upangaji kwa mteja.
Note:
Zingatie "Four P" principle ya marketing.
Hizi njia nazihitaji mnoo, baada ya kuvuna na kuuza mazao yangu kwa 2025 , nahitaji njikite ktk biashara hiiHii biashara ina hela ila ina njia zake😁 usiingie kichwa
Pusha THapana boss! Hii ni Siri halafu pia hata nikikuambia bila kuwa na connection huna pa kuuzia. Inahitaji kwanza utengeneze customer base hapo ndio mseleleko utauona. Unashusha mzigo unasambaza kwa wadau unashusha mwigne chap
Njia sio za kificho, ni umakini na kujifunza taratibu na kufahamiana na watu. Mtu asikutishe kukwambia kuna biashara haranu wala nini sijui, kikubwa huku ni customer base then mtaji mkubwa. BasiHizi njia nazihitaji mnoo, baada ya kuvuna na kuuza mazao yangu kwa 2025 , nahitaji njikite ktk biashara hii
Chimbo la jumla dsm anipe mchongo tafadhari
1. Vinywaji fekiMkuu plz
Raha ya biashara haramu (black market) ni TRA tu, wakikukamata unamalizana nao.Ukikamatwa umeisha, unaacha pesa zako bank kwa miaka 10
Astalavista hasla mwenzangu wa Tunduma.Twende tunduma mkuu upunguze ukali wa maisha...ila ss tahadhali kama unamtaji mil 10 hakikisha unapending ya mil 5 cash kilinda mfuko🤣
Of course hata sheria ya East Africa community customs management act imewapa police powers maofisa wa forodha wa tra,Raha ya biashara haramu (black market) ni TRA tu, wakikukamata unamalizana nao.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Habari
Kiukweli tunatoka sehem mbali mbali tunakutana na watu mbali mbali.Naomba toa fursa kwa waTz wenzio biashara gan umesikia au unamjua mtu imemtajirisha cku za karibu hz
Hiyo namba moko wahuni wanatembea nayo sana....tena copy za wakubwa1. Vinywaji feki
2. Magendo ya mpakani kama vipodozi, vitenge, vinywaji N. K
3. Tiles feki
4.
5.
#YNWA
#YANGA_BINGWA