Uzi wa kutaja Ni biashara gani umesikia mtu katajirika nayo siku za hv karibuni?

Uzi wa kutaja Ni biashara gani umesikia mtu katajirika nayo siku za hv karibuni?

Sijajua mtaji wako ila ukijikita humu utatoboa:
1. UDALALI WA AKILI.
2. Spare parts za magari au bajaji au pikipiki ni machaguzi yako tu.
2. Hardware hapa unaweza ukawa unauza vifaa vyote vya ujenzi au ukajikita kwenye umeme tu au tiles tu au cements tu au mabomba tu av chuma tu machaguo ni juu yako.
3. Modern Paving yaani kuanzia uzalishaji wake hadi upangaji kwa mteja.

Note:
Zingatie "Four P" principle ya marketing.
"Price, place,promotion and product "
 
Hapana boss! Hii ni Siri halafu pia hata nikikuambia bila kuwa na connection huna pa kuuzia. Inahitaji kwanza utengeneze customer base hapo ndio mseleleko utauona. Unashusha mzigo unasambaza kwa wadau unashusha mwigne chap
Pusha T
 
Hizi njia nazihitaji mnoo, baada ya kuvuna na kuuza mazao yangu kwa 2025 , nahitaji njikite ktk biashara hii

Chimbo la jumla dsm anipe mchongo tafadhari
Njia sio za kificho, ni umakini na kujifunza taratibu na kufahamiana na watu. Mtu asikutishe kukwambia kuna biashara haranu wala nini sijui, kikubwa huku ni customer base then mtaji mkubwa. Basi
 
Raha ya biashara haramu (black market) ni TRA tu, wakikukamata unamalizana nao.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Of course hata sheria ya East Africa community customs management act imewapa police powers maofisa wa forodha wa tra,
 
I could show ya how to juggle anything and make it double Weed, blow, real estate, liquor sto' wit' no trouble - Rubber Band Man - Grand Hustle.

Weed - Majani ,Mmea ,Kijiti ,Mneri,Ganja ,Bangi
Blow -Cha Pele ,Unga ,Bwimbwi ,Cha Ukucha eg Ali Shikuba
Real Estate - Mijengo(Jenga Uza) ,Kupangisha ,Apartments ,AirbnB eg Hamidu City
Liqour Store - Uza Mivinyo ,Uza Spirit ,Tengeneza Spirit eg Bilionea Mulokozi
 
Kuna mdau anazungumzia biashara kwa details za awali kutokana na uchangiaji wake kwa mfano anaweza akawa anazungumzia mafuta ya kupikia ambayo unaweza kuwa unanunulia Zanzibar, na kushushia sasa ndo kuna machaka kibao yabaridi na yamoto mfano Bagamoyo, Mbweni, Kigamboni.... au wengine wanaagiza kwa kuchangia kontena toka Malaysia na Indonesia na kushushia Zanzibar kama kawaida . . .

Mtu anapozungumzia magendo yapo ya aina mbili:-
1) Magendo ya moto Mfano. Madawa ya kulevya, Nyara za serikali haya kumalizana kwake sio kirahisi ni kimafia kama biashara ilivyojinasibu.
2) Magendo baridi Mfano. Mafuta, Simu, Nguo, Vitenge ni vitu ambavyo ni halali ila njia unayovipitishia ndo sio rafiki
 
Back
Top Bottom