Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Namba 2 umekosea sana huyo jamaa. Mbona hachukui hela ya mtu au kosa kuhadithia bila kukusifia sifia wazee wa Jf?
Namba 3 ni sawa,huyu jamaa ukimkosoa tu anakupa za uso mpaka kukuanzia Uzi mzima. Akipata moto anajichanganya anakujibu kwa I'd hii,baadae kidogo I'd nyingine.

Uliempatia sana sana ni huyu namba 4. LUCAS MWASHAMBWA. Mzee wa kulamba viatu. Amezidisha sasa,anaboa sana kusifia hata matope. Ungemaliza kabisa walikuwepo wenzie akina Pascal baada ya sifia sana teuzi bila bila wameanza kugeuka taratibu. Mwambie tu we msafwa teuzi hazipo tena
 
Bahati nzuri huwa unaniheshimu na kuniogopa. Nilidhani utaanzisha ligi na mimi, nikut....
Yaani Lionel Messi wa PSG FC ya Ufaransa atishwe au aogopeshwe na Clement Mzize wa Yanga SC ya Tanzania?

Endelea kujipa Moyo na Kujidanganya.
 
Huwezi kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ukapendwa na Watu Wapumbavu, Waswahili na wenye Roho Mbaya zenye Chuki na Wivu kwakuwa Nakubalika na Maarufu Kuwazidi.

Asante Mungu kwa Baraka zako hizi.
 
Mademu ukitaka ukosane nao. Mponde mpiga story wao....
 
Nimemeshangaa sana Pascalina mayai hayumo huyu bwana ana style yake ya kipekee anayoitumia ili aokotwe jalalani lakini hiyo style yake haimsaidii
 
Duh! naona game changer amekujibu tokea hukohuko usingizini naona ameuona uzi wako akiwa kwenye njonzi
 
malizia mbona unaishia njiani,acha chuki kwa wenzio ndugu yangu mimi uchawa sijazoea ukizengua lazima nikuchane
 
Ze gogoz International@Mpwayunguvillage say something!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ahsanteeeeeeeeeee!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
malizia mbona unaishia njiani,acha chuki kwa wenzio ndugu yangu mimi uchawa sijazoea ukizengua lazima nikuchane
Kabisa.... Ni kuchanana tu kwa kwenda mbele. Sasa unasema hujazoea uchawa kwa nini unakuwa chawa kama hujazoea? Achana nao.
 
Yaani Lionel Messi wa PSG FC ya Ufaransa atishwe au aogopeshwe na Clement Mzize wa Yanga SC ya Tanzania?

Endelea kujipa Moyo na Kujidanganya.
Hiyo haondoi ukweli kwamba huwa unaniogopa sana. Nisingekuwemo humu JF ungenyanyasa sana raia, uzuri huwa ukioniona nimetia timu unaufyata. Hata matusi huwa unaacha.... Kama unabisha nitukane basi.
 
Huyo namba tatu ngoja aamke uoge matusi kwa kutumia ID mpya,jamaa nimekua nae oysterbay familia bora tatizo lake ni ufupi,ana urefu wa futi tano kamili so badhani unafahamu watu wafupi kujikweza
Umekosea uliposema ni mfupi ..ungesema ni mrefu wa futi tanoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…