Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Binafsi.

Etwege.

Bia yetu.

Kawe Alumni.

Hawa watu walisumbua sana ENZI za Mwenda zake.
Hao walikuwa kiboko.
 
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Popoma ban imeisha lini? Maana ilipigwa ban halafu mimi pia ni fan wako popoma na nimeweka uzi kabisa wa kukuwish mery xmass na upopoma wako.
 
namba 3 na kubwa jinga mmoja linaitwa GENTAMYCIME
mtaje au unaogopa matusi yake ya kizamani
Huwezi kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ukapendwa na Watu Wapumbavu, Waswahili na wenye Roho Mbaya zenye Chuki na Wivu kwakuwa Nakubalika na Maarufu Kuwazidi.

Asante Mungu kwa Baraka zako hizi.
 
Uzi kwa 98% umeanzishwa Kunilenga Mimi Hawa Wengine Wametajwa tu ili Kuzuga wakudhani GENTAMYCINE nina Upumbavu wa Kutukuka kama wa Muanzisha / Mleta Mada.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Nimeambiwa shida yako ni ufupi uliopitiliza ....
 
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Nimeambiwa shida yako ni ufupi uliopitiliza ....
Moderators wa JamiiForums mnaziachia Threads kama hizi ambazo zina Lengo kabisa la Kuchokozana, Kuchafuana na Kudhalilishana ili akina GENTAMYCINE tunaoonekana tuna Hasira na Majibu Makali na Umiza kisha tukiyatoa upesi sana mje Kutupiga BAN za Wiki Tatu, Mwezi na hata Miezi.

Huhitaji Aklli Kubwa kujua na hata tu ukipitia Comments za Mleta Uzi kuwa huu Uzi ameuanzisha Makusudi ili Kunilenga Mimi na hawa Wengine aliowataja hapa amezuga akidhani wenye Aklli Kubwa na Wazoefu ( Wakongwe ) hapa JamiiForums hatufamjua.

Huenda huu Uzi umeachwa Kimakusudi na Kimkakati hadi sasa uko Kurasa ( Page ) ya Tano ( 5 ) ili Aliyelengwa Kisiri ( Kificho ) GENTAMYCINE ajibu Mapigo kisha apigwe BAN ndefu ndipo Uzi nao Ufungwe / Ufufwe rasmi.

Cc: Cookie, YinYang, Moderator, Paw, Active, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo
 
Una maoni gani pia kwa Watu ambao Kutwa na Makusudi huwa Wananichokoza, Wananidhihaki, Wananitukana na Wananichafua hapa JamiiForums ili niwajibu kwa Lugha yangu Kali kisha wakimbilie Kuniripoti na nipewe BAN ili iwe Sherehe Kwao?

Mkitana nibadjlike anzeni Kwanza kuacha kuwa Wapumbavu na Wanafiki kisha kakateni Rufaa kwa Mwenyezi Mungu kwanini alinibariki Mimi GENTAMYCINE na kuwa hivi Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer nilivyo na nyie kuwapeni Roho za Chuki na Wivu juu ya Umaarufu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee hapa JamiiForums?

Kama mnadhani Kunitaja huku kwa Mabaya kutasaidia Kunichafua na huenda Kura zangu zipungue katika Majukwaa yanayoshindanishwa mmekosea mno kwani sijaanza Kupigiwa tu Kura nanyi Maadui zangu hapa bali hata Mwenyezi Mungu nae na Malaika wake wanatambua na wanapenda ninayoyawasilisha hapa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Unalia nini sasa?
 
Moderators wa JamiiForums mnaziachia Threads kama hizi ambazo zina Lengo kabisa la Kuchokozana, Kuchafuana na Kudhalilishana ili akina GENTAMYCINE tunaoonekana tuna Hasira na Majibu Makali na Umiza kisha tukiyatoa upesi sana mje Kutupiga BAN za Wiki Tatu, Mwezi na hata Miezi.

Huhitaji Aklli Kubwa kujua na hata tu ukipitia Comments za Mleta Uzi kuwa huu Uzi ameuanzisha Makusudi ili Kunilenga Mimi na hawa Wengine aliowataja hapa amezuga akidhani wenye Aklli Kubwa na Wazoefu ( Wakongwe ) hapa JamiiForums hatufamjua.

Huenda huu Uzi umeachwa Kimakusudi na Kimkakati hadi sasa uko Kurasa ( Page ) ya Tano ( 5 ) ili Aliyelengwa Kisiri ( Kificho ) GENTAMYCINE ajibu Mapigo kisha apigwe BAN ndefu ndipo Uzi nao Ufungwe / Ufufwe rasmi.

Cc: Cookie, YinYang, Moderator, Paw, Active, JamiiForums and JamiiForums Founder Maxence Melo
Watajwa wakaangalie katika uzi kama kuna jina la mjishuku huyu.
 
Back
Top Bottom