Uzi wa kuwataja watu wa ovyo sana Mwaka 2022. Wajirekebishe

Wengine sawa, lakini kwa Mshana Jr hapana.
Ila mpwayungu village huyu hafai. Muongo kupitiliza.Nilishawahi mtetea kwenye thread yake ya safari ya Uganda (Kampala) lakini niliposoma comments za watu nikagundua huyu jamaa ni muongo mahsusi
 
Usikute alieanzisha uzi ndie mshana mwenyewe..! Asalaam aleikyum..😄
Mshana hanaga tabia za kijinga za kuja na ID mpya, jamaa anajielewa Sana na mtoa mada amemvunjia heshima Yake
Sio poa kabisa yaani
 
Huyo ananifahamu vizuri mi silei mayai mabovu
Nilichoelewa tangu mwanzo wa thread yako ni kwamba hao wengine wote umewataja kama kuzuga tu, lakini lengo lako kuu lilikuwa kwa namba 3. Na hii imethitika kwa hii comment yako hapo juu.

Uchokozi wa dhahiri huu kabisa.
Una bahati leo ameamua kuwa mpole.
 
Nisikilize ninavyoimba na pia ninavyopiga Gitaa
Naona watu wamependeza na sijui kitatokea Nini

I do this for you Demi
NAPENDA ukiwa na Furaha

Mtoa Mada acha Chuki
Nikajua umenitaja mie mtu wa hovyo 😅😅
 
huyo namba moja niwahovyo sijawahi kuona akitoka yeye unakuja wewe. nawewe nimzee wahovyo.namba moja anamiliki mi I'd kibao humu hata kwenye huu uzi zimekuja kumtetea.kwenye ubingo wake anawaza mapenzi tu. mawazo yamaana hana.kunamwingine alikua anajiita girls huyu nimzee choko kabisa.
 
Dah...wenye akili hata siku moja hawajadili watu 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…