Duuh pole sana mkuu.. naona unataka ujitese ajili yanguPoa poa mkuu, ngoja nikipata bando kubwa na kutosha nitakutumia. Maana mzigo una 3gb+. Kama si leo usiku basi kesho usiku.
π π π π πDuuh pole sana mkuu.. naona unataka ujitese ajili yangu
God bless youππππ π π π π
Usijali mkuu, hakusa mateso hapo.
π π π π πmpk sasa hamno picha ya demu mwenye tako.... hamjui kuchora nyie Jamaa
AminaGod bless youπππ
big upπππππSamsung tab
View attachment 1400105
Shukran mkuuππbig upπππππ
Shukran kwa kunielimisha mkuu.. Sina utaalam huo, picha niliyoitumia kama reference image ilikuwa na vifani vyenye uwiano kama huo so nikajua hivyo ndivyo ilivyo.Uko vizuri mkuu
But virus huwa ni 100 times smaller than normal cells
Cells are giants to viruses
Mkuu na Mimi naziomba hizo tutorial nateseka sana kupata mtiririko mzuri wakati najifunza, zitanisaidia.Poa poa mkuu, ngoja nikipata bando kubwa na kutosha nitakutumia. Maana mzigo una 3gb+. Kama si leo usiku basi kesho usiku.
Unakaribishwa mkuu.Mkuu na Mimi naziomba hizo tutorial nateseka sana kupata mtiririko mzuri wakati najifunza, zitanisaidia.
we chaliiUnakaribishwa mkuu.
Nazipataje Mkuu.Unakaribishwa mkuu.
Nambie mkuu, naona umebadili koti bwana...πππwe chalii
Niliwekwa kikao na mchungajiππππNambie mkuu, naona umebadili koti bwana...πππ
Zama PM mkuu.Nazipataje Mkuu.