Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Mkuu waambie tu ukiwa mzinzi uwe na pesa za kutosha kwa ajili ya kuzinzika, uwe na hasira za chini na usiwe na matarajio sawa na moyo wako.... tofauti na hivo utakufa na magonjwa ya msisimko
 
Mkuu waambie tu ukiwa mzinzi uwe na pesa za kutosha kwa ajili ya kuzinzika, uwe na hasira za chini na usiwe na matarajio sawa na moyo wako.... tofauti na hivo utakufa na magonjwa ya msisimko
Hela haijawahi kutosha my dear
 

Aseee we jamaa hapa umeongea, maandishi haya yotee yawekwe wino wa dhahabu kwa vizazi vijavyoo

Uasherati ni gharama sana mamaee dooh
 
Hamna mtu mwenye akili timamu asie kua na poor family background, anae weza kuendekeza uzizi, wengi ni limbukeni, urban-rural acitement, ushamba wa pesa pombe mkumbo nk..........ila kwa ukweli uzizi hauwezi kuacha mtu salama ata siku moja
Kama ameanza siku mwambie akupeleke kwa mpalange, maana huko msimu ni mmoja tu, jua kali pasipo mvua.
 
Duu sikuwahi kuwaza hili kuwa demu kalazimisha kuja huku akiwa bleed maana yake anataka ailiwe jicho.aseeee
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Kwani weee unadhani kiasi gani cha fedha kinakutosha ili uzitosheleze tamaa zako za mwili?

Hela inaweza ikakufanya ice cream 🍦 ya Sno Cream ukaiona kama kimpumu, ukijisikia kula ice cream 🍦 ukakodi private jet na kwenda Paris kula ice cream 🍦 na kurudi na bado usitosheke. Mwili nyoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…