Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #221
😅🤣😂NDIO yaliyomkuta ndugu yetu Huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅🤣😂NDIO yaliyomkuta ndugu yetu Huyu
Mkuu waambie tu ukiwa mzinzi uwe na pesa za kutosha kwa ajili ya kuzinzika, uwe na hasira za chini na usiwe na matarajio sawa na moyo wako.... tofauti na hivo utakufa na magonjwa ya msisimkoUnamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.
Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.
Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?
Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.
Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.
Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.
Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.
Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.
Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?
Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.
Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.
Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.
Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Hela haijawahi kutosha my dearMkuu waambie tu ukiwa mzinzi uwe na pesa za kutosha kwa ajili ya kuzinzika, uwe na hasira za chini na usiwe na matarajio sawa na moyo wako.... tofauti na hivo utakufa na magonjwa ya msisimko
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.
Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.
Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?
Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.
Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.
Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.
Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
🙄🙄🙄Hela haijawahi kutosha my dear
Ndio upate mzinzi wakati wewe umeamua kutulizanaMsongo wa mawazo lazima ukupate mkeo akijua umeisha sasa shida yote hii ya nini kama hujaoa tulia muombe Mungu chagua mrembo haswa izawadie nafsi yako .
Kama ameanza siku mwambie akupeleke kwa mpalange, maana huko msimu ni mmoja tu, jua kali pasipo mvua.Hamna mtu mwenye akili timamu asie kua na poor family background, anae weza kuendekeza uzizi, wengi ni limbukeni, urban-rural acitement, ushamba wa pesa pombe mkumbo nk..........ila kwa ukweli uzizi hauwezi kuacha mtu salama ata siku moja
Unamnaga Mzee Yusufu CCMSasa wale wanaozaa nje na kupata watoto ambao wengine wnakuwa hata mawaziri, inakuwaje hapo?
Duu sikuwahi kuwaza hili kuwa demu kalazimisha kuja huku akiwa bleed maana yake anataka ailiwe jicho.aseeeeMimi siyo mzinzi na wala siungi mkono uzinzi ila ikitokea hivi INA maana huyo bidada kaja Kwa option ya kukupa ile bikra ya Pili kama ipo.
By the way mwanamke anayejuwa kuitumia vizuri nafasi take anaweza kumridhisha mwanaume bila kuliwa papuchi, hawa viumbe wana mambo mengi sana.
Kwamba ufanye ngono usifsnye safari yetu ni mmoja tutatofautians muda tu wa kutangulia.🤣🤣🤣🤣 Kwani whats the worse that could happen apart from dying? Maana kama kufa tutakufa tuu na hamna faida ya kuingia kaburini na afya njema🤣🤣🤣🤣🤣
Angeenda kwa mparange.Hahahaa acha kabisa kuna jamaa yangu alifanyiwa hii mambo. Kamkatia dem return ticket ya fastjet nafikiri zilimtoka laki3, kufika mwanza dem anaseme anableed jamaa alikaa naye hadi siku ya kurudi hakuambulia kitu. Ingekuwa mm vidonge vinakuhusu
Hapo sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]long distance ni hovyoKwani dar hakuna wachuchu?
Unatakiwa uniongeze....de libolo zipo kibao unashindwa vipi kukamatia mojaHapo sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]long distance ni hovyo
Migenye imekushika mpk ntu afike zimeisha
Kwani.mzee Yussuf ana mtoto wa nje Waxiri?Unamnaga Mzee Yusufu CCM
Kwani weee unadhani kiasi gani cha fedha kinakutosha ili uzitosheleze tamaa zako za mwili?
SunaKwani.mzee Yussuf ana mtoto wa nje Waxiri?
Na magundu kama yote. Kila unalolifanya lazima ulipe gharamaKama ameanza siku mwambie akupeleke kwa mpalange, maana huko msimu ni mmoja tu, jua kali pasipo mvua.