Niajitiwe mara ngapi? Mbona wapo watu wameajitiwa wanagegeda na mpaka teuzi wanapata.Kama umeajiriwa jaribu halafu utanipa jibu
Maneno ya kujifariji haya.....Niajitiwe mara ngapi? Mbona wapo watu wameajitiwa wanagegeda na mpaka teuzi wanapata.
The world is not fair, majizi yanatawala dunia wakati waadilifu wanahangamia na umaskini.
Sio kila mwenye mbio ndia ashindae mashindano
Wala sio kujifariji ndio reality hiyo...the evidence is thereManeno ya kujifariji haya.....
Mdogo wangu huwa nakuona unapenda sana ishu za kunyonya vinyelo...lakini nikuambie tu haya mambo mwisho wake huwa ni mbaya sana......mimi nipo kwenye sekta ya afya najionea mengi sanaWala sio kujifariji ndio reality hiyo...the evidence is there
🤣🤣🤣🤣 Kwani whats the worse that could happen apart from dying? Maana kama kufa tutakufa tuu na hamna faida ya kuingia kaburini na afya njema🤣🤣🤣🤣🤣Mdogo wangu huwa nakuona unapenda sana ishu za kunyonya vinyelo...lakini nikuambie tu haya mambo mwisho wake huwa ni mbaya sana......mimi nipo kwenye sekta ya afya najionea mengi sana
Usiwe Ivo bas tafadhali....unaonekana hujali kitu...plzz🙏🙏🤣🤣🤣🤣 Kwani whats the worse that could happen apart from dying? Maana kama kufa tutakufa tuu na hamna faida ya kuingia kaburini na afya njema🤣🤣🤣🤣🤣
Ah tatizo yenuu mnaweka kifo mbali sana. Thats nature ni kitu kinaweza mtokea binadamu yoyote bwana.Usiwe Ivo bas tafadhali....unaonekana hujali kitu...plzz🙏🙏
Huo uongo..acheni illusion za kishenzi.Uzinzi unasababisha urogeke kizembe
Toa somo kwa wengine. Please, tupe hicho kisa.Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.
Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.
Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.
Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.
Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Unavyoongea utadhani wewe utaishi milele..watu wanakufa kwa magonjwa ya ajabu ajali..dunia ni mapito tu.Hakuna amani na furaha bwana. Waulize wamama watu wazima walioishi maisha ya kudanga enzi za usichana wao maana wapo watakwambia. Haulipi na hauna faida.
Kuna mmoja aliishi hayo maisha kweli kwa kipindi hicho alikuwa na the so said "amani na furaha" tena alikuwa na body kinanda. Rangi tamu. Akaolewa lakini kwa sababu ya kurukaruka akaachika. Akaendelea na uzinzi. Akaukwaa ukimwi. Umri ukasogea papuchi ikawa tafrani no taste.
Akaanza kuvuta shuka kumekucha. Yupo tu leo anahangaika kwa dada zake na anategemea watoto wa dada yake wamuuguze maana hali si hali. Yani anawategemea ndugu zake inshort. So furaha na amani ni ya kitambo tu. Kwani hata sigara si inampa mtu amani na furaha. Matokeo yake huwaga ni nini.
Hata goliath alikuwa na furaha na amani alivyokua anaonea watu. Hata mwizi akikaba anafuraha na amani..lakin zinapofika 40. Hakuna dhambi ambayo haileti furaha maana lazima dhambi ikupe fake satisfaction. Ila pale shetan anapoanza kutudai vya kwake haloooo....
Uongo na ujinga tu..utawadangaya wajinga wasio jitambua.Na wala msiikaribie zinaa hakika zinaaa ni uchafu.....ukitaka kuikubali hii aya zini asubuhi halafu nenda kazini hiyo siku inakuwa mbovu sana....
Wanataka wafe na mapafu..figo ini zima waka waringishie wafu wenzao makaburini huko.Ah tatizo yenuu mnaweka kifo mbali sana. Thats nature ni kitu kinaweza mtokea binadamu yoyote bwana.
Tule mbususu mwanawaneWanataka wafe na mapafu..figo ini zima waka waringishie wafu wenzao makaburini huko.
Utelezi muhimu kwa mwanadamu..kufa kupo tu..kunanjamaa yangu alikua anaogopa sana kugonga mademu akiogopa magonjwa ya zinaa..one day tuko rumu anakawa anajipima ngoma..akawa yuko poa tu..daah haikumaliza mwezi jamaa akapata ajali akafa.
Ndio nasema unaweza usife kwa uzinzi ukafa kwa kipindupindu..no body knows tomorrow..kuna mtu napima ngoma na demu nasahau kuna homa ya ini hiyo ni balaa zaidi ya ukimwi.
Chamsingi ni kuplay safe tumia ndomu choma chanjo ya homa ya ini..kama unataka kwenda dry pimeni mjilie vyenu.
Ila kuacha kutomber haiwezekani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hamna haja ya kulala kwenye chandarua kujikinga na Malaria Kwa vile kufa kupo tu?Unavyoongea utadhani wewe utaishi milele..watu wanakufa kwa magonjwa ya ajabu ajali..dunia ni mapito tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Napenda unavyofikiri madam, ila mimi nafikiri hatujaja duniani kuishi milele. there is no perfect body..it all goes down the grave ..be happy for the moment life gives you mbususu'sHakuna amani na furaha bwana. Waulize wamama watu wazima walioishi maisha ya kudanga enzi za usichana wao maana wapo watakwambia. Haulipi na hauna faida.
Kuna mmoja aliishi hayo maisha kweli kwa kipindi hicho alikuwa na the so said "amani na furaha" tena alikuwa na body kinanda. Rangi tamu. Akaolewa lakini kwa sababu ya kurukaruka akaachika. Akaendelea na uzinzi. Akaukwaa ukimwi. Umri ukasogea papuchi ikawa tafrani no taste.
Akaanza kuvuta shuka kumekucha. Yupo tu leo anahangaika kwa dada zake na anategemea watoto wa dada yake wamuuguze maana hali si hali. Yani anawategemea ndugu zake inshort. So furaha na amani ni ya kitambo tu. Kwani hata sigara si inampa mtu amani na furaha. Matokeo yake huwaga ni nini.
Hata goliath alikuwa na furaha na amani alivyokua anaonea watu. Hata mwizi akikaba anafuraha na amani..lakin zinapofika 40. Hakuna dhambi ambayo haileti furaha maana lazima dhambi ikupe fake satisfaction. Ila pale shetan anapoanza kutudai vya kwake haloooo....