Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Kwanini,ulinitongoza ukanila? Easy bas,easy bro.Siku hazifanani Leo sina mood ya kuchekacheka hata kidogo.I beg you
Kwanini,ulinitongoza ukanila? Easy bas,easy bro.Siku hazifanani Leo sina mood ya kuchekacheka hata kidogo.I beg you
Hapana mkuu.Mi sitongozagi mitandaoni..Na deal na real people around me!.
 
Wewe ukitaka kujua kuwa watu wanapenda uzinzi angalia revenue za porn industry. Yaani ni more than nba, mlb na nfl combined.

Sijamuona mlenzi wangu Demi hapa mpaka sasa. Sijui anagegedana huko alipo
We jamaa wewe..🤣🤣

Basi ingekuwa kuonana na mtu wa Jf ni rahisi wewe ningekuona.

Sababu ni moja tu kulinganisha mwandiko na muonekano😀

Nitacheka sana
 
Wewe ukitaka kujua kuwa watu wanapenda uzinzi angalia revenue za porn industry. Yaani ni more than nba, mlb na nfl combined.

Sijamuona mlenzi wangu Demi hapa mpaka sasa. Sijui anagegedana huko alipo
Mie najifunza kwako ujue😅😅
Nakuaje mlezi?
Watu ni wanafiki ndugu yangu, sex is for everyone wanajidai tu hapa.
Yaani nipewe mdomo halafu unipangie nini nile na nini nisile, doesn't make sense
 
We jamaa wewe..🤣🤣

Basi ingekuwa kuonana na mtu wa Jf ni rahisi wewe ningekuona.

Sababu ni moja tu kulinganisha mwandiko na muonekano😀

Nitacheka sana
Nyie warembo wa jf sii mnataka kuonana na big boys tuu ...sie waendesha bodaboda mnatukwepa kama ukoma.

Mie nipo tuu any time wataka kuonana nakuja location
 
Mie najifunza kwako ujue😅😅
Nakuaje mlezi?
Watu ni wanafiki ndugu yangu, sex is for everyone wanajidai tu hapa.
Yaani nipewe mdomo halafu unipangie nini nile na nini nisile, doesn't make sense
Mie nakupendea hapo tuu....hizi mada upo front line kabisa.

Ila leo umechelewa kuonekana, shem alikuwa anakojowa ubongo nini🤣🤣🤣🤣
 
Kwa nini usingemuua?
 
Uongo
 
Wengi wapo hivi
 
Hapo eti akizeeka tuna kurudishia uwiii[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…