Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

katika maisha yangu, nilishawahi kugandwa na mchepuko (tena niliozaa naye mtoto), nikaona anataka kuharibu ndoa, hadi ilifika kipindi mimi na yeye tukawa tunashirikiana kumtafutia mwanaume, namkumbusha kila wakati amefikia wapi kupata mwanaume walau mzuri atakayemuoa manake niliona usumbufu umezidi. walau apate tu mwanaume amuoe nipumue.
Afadhali alikuwa ni mwelewa
 
Katika maisha yangu, nilishawahi kugandwa na mchepuko (tena niliozaa naye mtoto), nikaona anataka kuharibu ndoa, hadi ilifika kipindi mimi na yeye tukawa tunashirikiana kumtafutia mwanaume, namkumbusha kila wakati amefikia wapi kupata mwanaume walau mzuri atakayemuoa manake niliona usumbufu umezidi. walau apate tu mwanaume amuoe nipumue.
Huyo siyo mchepuko, huyo ni mzazi mwenzio, kuwa na heshima kwa mwanamke aliyekuzalia mtoto.
 
..hadi ilifika kipindi mimi na yeye tukawa tunashirikiana kumtafutia mwanaume, namkumbusha kila wakati amefikia wapi kupata mwanaume walau mzuri atakayemuoa manake niliona usumbufu umezidi. walau apate tu mwanaume amuoe nipumue.
🤣🤣
Mlifanikiwa kupata?
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Umezungumzia hasara za kiuchumi tu... Kama uchumi hausumbui! Ruksa?
 
🤣🤣
Mlifanikiwa kupata?
ameshapitiwa na wanaume wawili sasa, ndoa mbili chali, tena wafanyakazi wana kipato tu ila wanaachana anarudi kwangu, sijui nilimlisha nini yule. kama hujaoa mzee, sema nikurushie namba ukabebe lile zigo la.....uoe tena hata mahali tutakuchangia walau ndoa yangu ikae salama. sura ni mzuri kuliko hata mama wa ndani, mambo yuko vizuri sana, ila shida mkigombana, ni mtata kuliko asha ngedere, alimtukana mke wangu matusi yoote unayoyajua, kesi nikauziwa mimi ndani hapatoshi hapo ndio niliamini mwanamke hata kama ni chembamba kama ufito kinaweza kukuendesha kikiamua. ila chonde, mtoto wangu nitaendelea kumtunza sihitaji umsaidie kwa chochote.
 
ameshapitiwa na wanaume wawili sasa, ndoa mbili chali, tena wafanyakazi wana kipato tu ila wanaachana anarudi kwangu, sijui nilimlisha nini yule. kama hujaoa mzee, sema nikurushie namba ukabebe lile zigo la.....uoe tena hata mahali tutakuchangia walau ndoa yangu ikae salama. sura ni mzuri kuliko hata mama wa ndani, mambo yuko vizuri sana, ila shida mkigombana, ni mtata kuliko asha ngedere, alimtukana mke wangu matusi yoote unayoyajua, kesi nikauziwa mimi ndani hapatoshi hapo ndio niliamini mwanamke hata kama ni chembamba kama ufito kinaweza kukuendesha kikiamua. ila chonde, mtoto wangu nitaendelea kumtunza sihitaji umsaidie kwa chochote.
Daah, aisee 😁
Inawezekana huwa akipata mtu wee mzazi mwenzie unaendelea kupasha kiporo hadi unamharibia huko!
 
ameshapitiwa na wanaume wawili sasa, ndoa mbili chali, tena wafanyakazi wana kipato tu ila wanaachana anarudi kwangu, sijui nilimlisha nini yule. kama hujaoa mzee, sema nikurushie namba ukabebe lile zigo la.....uoe tena hata mahali tutakuchangia walau ndoa yangu ikae salama. sura ni mzuri kuliko hata mama wa ndani, mambo yuko vizuri sana, ila shida mkigombana, ni mtata kuliko asha ngedere, alimtukana mke wangu matusi yoote unayoyajua, kesi nikauziwa mimi ndani hapatoshi hapo ndio niliamini mwanamke hata kama ni chembamba kama ufito kinaweza kukuendesha kikiamua. ila chonde, mtoto wangu nitaendelea kumtunza sihitaji umsaidie kwa chochote.
Mkuu leta hiyo namba tafadhali
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.

Mit 6:32 SUV​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake...
 
Back
Top Bottom