Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjingawewebora nifilisike.
Kuna faida gani ya kuwa na pesa alafu huna mademu?
Diamond, Mbosso unawazungumziaje?Ukiwa mzinzi, utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA. Uzinzi unaua FOCUS.
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
Unakula tu mizigo 🤣bora nifilisike.
Kuna faida gani ya kuwa na pesa alafu huna mademu?
Tuweke utani pembeni, katika hii dunia sidhani kama kuna jamii inayounga mkono mchezo wa wanaume kushiriki mapenzi kinyume na maumbile na wanawake/ au wanaume wenzao kuliko mataifa ya magharibi (zipo nchi nyingine pia zisizokuwa ukanda huo)Waarab wangekua maskini kuliko ww😂
Weeeh na elon musk atafilisika..?Ukiwa mzinzi, utaandelea kuwa masikini.
Uzinzi haupatani na HELA. Uzinzi unaua FOCUS.
Kuna jamaa mmoja nilienda kumtembelea huyu jamaa mzinzi sana ila ameishia kuishi kwa madeni ya hapa na pale.
Malaya hana uwezo kukumbusha kujenga au kununua tofali au kufungua kampuni.
Unakemea vipi upwiru kwa mwanaume alie kamilika?Jamii ya sasa kijana akiwa hana tabia za uzinzi anaonekana hajakamilika, lakini bado uzinzi ni mikosi na tunapaswa kukemea.
Tuweke utani pembeni uzinzi si jambo nzuri, hata mzinzi mwenyewe sidhani kama anaridhia/penda wanae, baba ,mama, dada ......... zake wawe wazinzi.Kuna waliotoboa ilhali Ni wazinzi wa kutupwa. Mfano mzuri unaujua wewe.
Mith 6:32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.Jamii ya sasa kijana akiwa hana tabia za uzinzi anaonekana hajakamilika, lakini bado uzinzi ni mikosi na tunapaswa kukemea.
Njia ya mwongo ni fupi kwa kweli, kwahiyo we nzalendo utakufa maskini, unajifanya ooh mtu ukila ndogo utakufa maskini, kumbe we nzalendo mwenyewe ni mdau wa kula ndogo za wadada nzalendo Mzee wa kupambania mrangi The only mzabzabHasa kama ukitafuna ile ndogo ile njia ya upepo...kusukuma kinyesi.....hapa lazima ufe maskini.
Uko wapi kipenzi ?Vitisho ni vingi jamani, lakini pia nyege zinapunguza ufanisi.....
Sawa tumesikia.
Unajipa moyo eti kiasili😄😄😄Napoteaje niambie!!!
Hivi kuna faida gani eti??Tuweke utani pembeni, katika hii dunia sidhani kama kuna jamii inayounga mkono mchezo wa wanaume kushiriki mapenzi kinyume na maumbile na wanawake/ au wanaume wenzao kuliko mataifa ya magharibi (zipo nchi nyingine pia zisizokuwa ukanda huo)
Maana nchi zao ndio zinaongoza kuhalalisha hilo jambo, yaani wameshafanya hiyo michezo sana mpaka wameona iwe kawaida tu na halali, ikiwezekana kazi rasmi
💯Mith 6:32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Ferouz soon anakula mil 100 za Chino, ametumia nyimbo yake bila idhini yake kimaandishi.Uzinzi unaua karama yuko wapi Ngasa, Ferooz, n.k