The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Yaani mkuu mimi nipige deki?Mbona tunawachukulia poa sana mashemeji zetu, kama mtu hujui maisha unaweza kuona karaha kukaa na ndugu(iwe ndugu yako au wa mke) lakini kama imepitia life la kibongo utaona kawaida sana. Muhimu usiishi kama mzigo, jitume, fanya vikazi vidogo vya home, usiwe mtu wa kulala ovyo, onyesha juhudi za kutafuta pesa hata kujishikiza sehemu, usiwe mlevi na usipende kurudi nyumbani very late.
Mkuu ndugu wengine hawataki tukoke tunapokaa.Nina imani kua hapo unaishi tu kimwili ila nafsi inaona kabisa kua upo kifungoni,hakuna kitu kizuri katika maisha kama kua huru,bora uwe na buku ambayo ni yako kuliko milioni ambayo sio yako,Jitahidi utoke hapo kifungoni na Mungu akusaidie In sha Allah.
Shida huleta akili na maarifa, uwoga wako ndio umasikini wako, mtegemea cha ndugu hufa masikini, usisahau hizo kanuni za maisha.Mkuu ndugu wengine hawataki tukoke tunapokaa.
Wanaona labda ukiondoka utapata shida huko unakoenda.
Yaani mkuu mimi nipige deki?
Mimi?
Nioshe vyombo?
Nisafishe choo mimo?
Nimwagilie maua mimi?
Point sana hii .. Mwenyewe nina malengo mazuri sana sitegemei kukaa hapa forever ingawa napata kila kitu ila kuna vitu nakosa kama privacyMbona tunawachukulia poa sana mashemeji zetu, kama mtu hujui maisha unaweza kuona karaha kukaa na ndugu(iwe ndugu yako au wa mke) lakini kama imepitia life la kibongo utaona kawaida sana. Muhimu usiishi kama mzigo, jitume, fanya vikazi vidogo vya home, usiwe mtu wa kulala ovyo, onyesha juhudi za kutafuta pesa hata kujishikiza sehemu, usiwe mlevi na usipende kurudi nyumbani very late.
Thanks sana kwa ushauri..Nina imani kua hapo unaishi tu kimwili ila nafsi yako inaona kabisa kua upo kifungoni,hakuna kitu kizuri katika maisha kama kua huru,bora uwe na buku ambayo ni yako kuliko milioni ambayo sio yako,
Jitahidi utoke hapo kifungoni na Mungu akusaidie In sha Allah.
Mkuu hao watu wa aina hiyo huitwa KKB Kula Kulala Bure.Kwani kuna tatizo gani wewe kufanya hizo kazi, hutaki kusafisha choo lakini unaenda chooni kila siku, huoshi vyombo lakini huachi kula, kwani kusafisha mazingira ya nje na kumwagilia maua kuna shida gani?
LOL bado unahitaji uangalizi wa karibu πππSana mim bado kijana mdogo yaan ahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuwa na huruma kwa shemejio lolKwani kuna tatizo gani wewe kufanya hizo kazi, hutaki kusafisha choo lakini unaenda chooni kila siku, huoshi vyombo lakini huachi kula, kwani kusafisha mazingira ya nje na kumwagilia maua kuna shida gani?
Privacy utaipata ukiwa kwako, najua at your age unatamani uwe na faragha hata ukimleta demu u-enjoy naye hapo, ni watu wachache watakubali ufanye hivyo coz hapo kuna watoto wadogo, tunasema utawafundisha tabia mbaya.Point sana hii .. Mwenyewe nina malengo mazuri sana sitegemei kukaa hapa forever ingawa napata kila kitu ila kuna vitu nakosa kama privacy
Sio huruma cocastic,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuwa na huruma kwa shemejio lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu rudi kijijini kalime mwisho kukaa kwa shemeji ni mwaka mmoja tu.Nyumba si kubwa hii nina room yangu nimekaa miaka mitatu tayari
Wanatakiwa wajielewe!Mkuu hao watu wa aina hiyo huitwa KKB Kula Kulala Bure.