Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Nina imani kua hapo unaishi tu kimwili ila nafsi yako inaona kabisa kua upo kifungoni, hakuna kitu kizuri katika maisha kama kua huru, bora uwe na buku ambayo ni yako kuliko milioni ambayo sio yako,

Jitahidi utoke hapo kifungoni na Mungu akusaidie In sha Allah.
 
Yaani mkuu mimi nipige deki?
Mimi?
Nioshe vyombo?
Nisafishe choo mimo?
Nimwagilie maua mimi?
 
Mkuu ndugu wengine hawataki tukoke tunapokaa.
Wanaona labda ukiondoka utapata shida huko unakoenda.
 
Point sana hii .. Mwenyewe nina malengo mazuri sana sitegemei kukaa hapa forever ingawa napata kila kitu ila kuna vitu nakosa kama privacy
 
Thanks sana kwa ushauri..
 
Kwani kuna tatizo gani wewe kufanya hizo kazi, hutaki kusafisha choo lakini unaenda chooni kila siku, huoshi vyombo lakini huachi kula, kwani kusafisha mazingira ya nje na kumwagilia maua kuna shida gani?
Mkuu hao watu wa aina hiyo huitwa KKB Kula Kulala Bure.
 
Kwani kuna tatizo gani wewe kufanya hizo kazi, hutaki kusafisha choo lakini unaenda chooni kila siku, huoshi vyombo lakini huachi kula, kwani kusafisha mazingira ya nje na kumwagilia maua kuna shida gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuwa na huruma kwa shemejio lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point sana hii .. Mwenyewe nina malengo mazuri sana sitegemei kukaa hapa forever ingawa napata kila kitu ila kuna vitu nakosa kama privacy
Privacy utaipata ukiwa kwako, najua at your age unatamani uwe na faragha hata ukimleta demu u-enjoy naye hapo, ni watu wachache watakubali ufanye hivyo coz hapo kuna watoto wadogo, tunasema utawafundisha tabia mbaya.

Kingine, waheshimu na kuwasaidia watoto kimasomo, kuna wimbi la vijana(wajomba/baba wadogo) kuwaharibu watoto kingono, usifanye hivyo ni dhambi kubwa sana, mashoga/lesbians wengi wanatokana na hawa watu.

So privacy itakuja ukiwa kwako, vumilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…