Hahahahahahha dahh binadamu raha sanashemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dadamtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha,shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto
Kwa dada yangu ...Hahahaaa umekaa kwa shemeji yako hadi umekuja na principles [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss point namba 8 inazingatiwa sana na isitoshe angalau nina jielewa sana siwezi fanya iyo ishu..
Hivi mnadhani hizo kazi ni nje nje tu? Fundi anakua anasaidia fundi wake kabisa ..hata huko kumejaa wanapeana wao kwa wao..maisha sio km unavyofikiria!
Jaribu kuongezea na fani nyingine inayoweza kuwa mbadala wa hiyo....au nenda veta soma hata fani ya mechanical,ingia gereji upate shilingi mbili tatu...huku ukisubiri kupata kazi uliyoisomeaFlight dispatch boss.. Aviation
Kama unaweza weka kambi na kuishi na wanakijiji ni wewe tuAisee kumbe uhakika .. Ingawa tabora sijawai fika
Yaonesha wewe ni mstaaarabu pia maana unatoa lecture ambazo ni nadra mtu kuzi allertPrivacy utaipata ukiwa kwako, najua at your age unatamani uwe na faragha hata ukimleta demu u-enjoy naye hapo, ni watu wachache watakubali ufanye hivyo coz hapo kuna watoto wadogo, tunasema utawafundisha tabia mbaya.
Kingine, waheshimu na kuwasaidia watoto kimasomo, kuna wimbi la vijana(wajomba/baba wadogo) kuwaharibu watoto kingono, usifanye hivyo ni dhambi kubwa sana, mashoga/lesbians wengi wanatokana na hawa watu.
So privacy itakuja ukiwa kwako, vumilia.
Mmmmmmmmh lol sasa ushasema n kwao, akiwa kwako ufanye wew, me nkienda kwa shemej huwa xfanyagi kaz had natokaSio huruma cocastic,
Hivi huyo shemeji akiwa kwao hafanyi kazi, kwanini kwangu aone ni kitu cha ajabu kufanya?
Ongeza hizi
Usile sana maana utasemwa mpk na dada yk [emoji23][emoji23]unakula na ufanyi kazi yoyt kazi kuangalia tv
Fanya kazi za nyumbani kifupi act kama house boy/girl
Saidia watoto kuhusu home work na kazi zao za shule
Ukiwa mnyenyekevu hivi watakupenda na wewe ndio sehemu ya kuomba kimtaji walau uingize hata buku 2 kwa siku upate kuthaminika
Roho mbaya tu mimi ndio sitoki sasa halafu nione utafanyajeSham777,
shemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dada mtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha, shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto
Jipange bwana ila kikubwa ni kutoa support kwa kazi ndogo ndogo maana vijana wengi wanakosa point za msingi za kuendelea kuishi kwa ndugu zao kwa kushindwa kusaidia kazi ndogo ndogo za nyumbani yaani unakuta mwenyeji wake anatamfuta mtu anampa deiwaka ya kumwagilia maua au kukata michongoma wakati mtu yupo tu homeJodoki Kalimilo, Aisee Point nimekubali.. Ndio najipanga kuna kiasi kikifika nafanya saving nitaondoka