Uzuri wa Mwanamke huwezi kuuona siku ya kwanza, Macho hudanganya.

Uzuri wa Mwanamke huwezi kuuona siku ya kwanza, Macho hudanganya.

Binafsi mwanamke namwona mzuri pale ninapozungumza nae , kauli zake tu na jinsi anavyo itikia mazungumzo yetu naweza mwona mzuri hata kama kwenye macho ya wengi kisura na kiumbo anaonekana mbaya , pia naweza mwona ni m baya kwenye mazungumzo yetu hata kama kwenye macho ya watu ni mzuri kisura na kiumbo.

Hebu jaribu kunisemesha nione km tutamatch [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
First sight haiwezi kukupa uzuri au ubaya wa Mwanamke au MTU. Bali ukaribu na mazoea ndio yatakupa uzuri na Ubaya aa mtu.

Kuna Wanawake wanaonekana ni Wazuri Kabla hujawazoea, lakini siku ukiwazoea unashangaa kuwaona ni wakawaida au Chini ya kawaida.

Na kuna Wanawake wanaonekana ni wakawaida au Chini ya kawaida lakini siku ukizoeeana NAO ndio unakuja kuona uzuri wao.

Haya mambo mwanaume yeyote ambaye ametembea na Wanawake tofauti tofauti mpaka wa kimataifa atakuambia vivihivi.
I second you, mkuu.

[emoji1666]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom