Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The power of oxytocinkuna mmoja nilimuona mbaya ila alivonitunuku tu ghafla nikamuona mzuri balaa
hii hali tunaizungumziaje??
Uzur halisia wa mwanamke unajulikana akiwa uchi, ukiona mwanamke anakimbilia "tuzime taa Kwanza". Jua Hilo Ni polygon [emoji4]
Ndo Nini iyo mkuu[emoji848]The power of oxytocin
kuna mmoja nilimuona mbaya ila alivonitunuku tu ghafla nikamuona mzuri balaa
hii hali tunaizungumziaje??
[emoji706][emoji706]
Binafsi mwanamke namwona mzuri pale ninapozungumza nae , kauli zake tu na jinsi anavyo itikia mazungumzo yetu naweza mwona mzuri hata kama kwenye macho ya wengi kisura na kiumbo anaonekana mbaya , pia naweza mwona ni m baya kwenye mazungumzo yetu hata kama kwenye macho ya watu ni mzuri kisura na kiumbo.
Inategemea unaongelea uzur idara ipi,
Idara nyingine uzuri wake Ni FIXED[emoji4]
[emoji16][emoji16]Hebu jaribu kunisemesha nione km tutamatch [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzur halisia wa mwanamke unajulikana akiwa uchi, ukiona mwanamke anakimbilia "tuzime taa Kwanza". Jua Hilo Ni polygon [emoji4]
Hayo mazungumzo yalipaswa yawe ana kwa ana ili nione na mijongeo ya viungo vyako, vile vinakaa sambamba na matamshi.[emoji16][emoji16][emoji16]Hebu jaribu kunisemesha nione km tutamatch [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hormone.Ndo Nini iyo mkuu[emoji848]
sema si hua ina peak baada ya kumwaga afu inashuka?? sasa kama bado unaendelea kumpenda hapo vipi😅Hormone.
Inatengenezwa during sex.
Inaweza kukufanya uwe na hisia za mapenzi kwa mtu uliyepanga ku hit n run.
Hayo mazungumzo yalipaswa yawe ana kwa ana ili nione na mijongeo ya viungo vyako, vile vinakaa sambamba na matamshi.[emoji16][emoji16][emoji16]
Huyu anapenda sana kurogana,,maisha yenyewe mafupi haya jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🙌Jirani nini mbaya?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni wanawake wachache Sana duniani ni wazuri wakiwa uchi, MamaJ Ni mmojawapo[emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji119]Wanawake tunawarogeni sana wanaume. Tatizo nyie hamweleweki hata kidogo. Tutawaroga na tutawaroga tena
Kitaalamu hii hali inaitwa kupatwa kwa jua [emoji23][emoji23]kuna mmoja nilimuona mbaya ila alivonitunuku tu ghafla nikamuona mzuri balaa
hii hali tunaizungumziaje??
I second you, mkuu.First sight haiwezi kukupa uzuri au ubaya wa Mwanamke au MTU. Bali ukaribu na mazoea ndio yatakupa uzuri na Ubaya aa mtu.
Kuna Wanawake wanaonekana ni Wazuri Kabla hujawazoea, lakini siku ukiwazoea unashangaa kuwaona ni wakawaida au Chini ya kawaida.
Na kuna Wanawake wanaonekana ni wakawaida au Chini ya kawaida lakini siku ukizoeeana NAO ndio unakuja kuona uzuri wao.
Haya mambo mwanaume yeyote ambaye ametembea na Wanawake tofauti tofauti mpaka wa kimataifa atakuambia vivihivi.