njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mr Njaakali hatari naaanza leo kukuleta segment matata iitwayo VAR YA CHAWA kutokana na ongezeko la kutisha la machawa na usambazaji wa kutisha wa fake news
Leo naanza na member aitwaye Crocodiletooth chawa moja hatari lenye blue tick liko verified yaani limepost uzi huu. Kwa bidii ya Rais wetu Mama Samia hatimaye tumepata mtaa wa jina letu nchini Ujerumani
Hili jina lipo tangu 2014 baada ya mji wa Hamburg kuingia makubaliano na jiji la Dsm mwaka 2010 wa kushirikiana ambapo mtaa uliokuwa ukiitwa Garden avenue jijin Dsm ulibadilishwa na kuitwa Hamburg avenue na jiji la Hamburg mwaka 2013 lili rename Hafen city district na kuitwa Dar es salaam Platz
www.wantedinafrica.com
Leo naanza na member aitwaye Crocodiletooth chawa moja hatari lenye blue tick liko verified yaani limepost uzi huu. Kwa bidii ya Rais wetu Mama Samia hatimaye tumepata mtaa wa jina letu nchini Ujerumani
Hili jina lipo tangu 2014 baada ya mji wa Hamburg kuingia makubaliano na jiji la Dsm mwaka 2010 wa kushirikiana ambapo mtaa uliokuwa ukiitwa Garden avenue jijin Dsm ulibadilishwa na kuitwa Hamburg avenue na jiji la Hamburg mwaka 2013 lili rename Hafen city district na kuitwa Dar es salaam Platz
Dar es Salaam's Garden Avenue renamed Hamburg Avenue
Street renaming part of twinning with German city Dar es Salaam's Garden Avenue has been renamed Hamburg Avenue as part of a twinning agreement between the two port cities, in place since 2010. The renaming of the prominent Dar street follows a similar gesture in the German city last year, when...