ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Leo ni anniversary ya mwaka 1Mna maumivu bado hamjapona vzr ongezeeni dicloper ya sindano...
Tangu Manara wa 5G upande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni anniversary ya mwaka 1Mna maumivu bado hamjapona vzr ongezeeni dicloper ya sindano...
Endeleeni ni anivesari zenu za kipumbavu...mabingwa wa kweli hawanaga huo upupu...wachawi fcLeo ni anniversary ya mwaka 1
Tangu Manara wa 5G upande
Garasa kama mama yako?Popoma unajionesha kama dishi limeyumba
Burkina Faso washafuzu afcon
Hizi mechi zilizobaki hawajaita mastaa
Wameitwa hayo Magarasa yakamilishe ratiba
Natumia hadi Leo unafurahia kasi ya 5GEndeleeni ni anivesari zenu za kipumbavu...mabingwa wa kweli hawanaga huo upupu...wachawi fc
Mama angu ni marehemu mkuuGarasa kama mama yako?
Kwahio nifanyaje sasa nimfufue.. mkuki kwa nguruwe. ..acha kuita watu waliozaliwa na mwanamke , garasa..mama zetu hawazai magarasa..acha usengeh..Huyo unayemuita garasa ni baba na mume ana familia inatemgemea kwa kazi hio ya mpira. Shenzy.Mama angu ni marehemu mkuu
Popoma asaidiwe kuwahishwa hospital iliyoko dodomaPopoma unajionesha kama dishi limeyumba
Burkina Faso washafuzu afcon
Hizi mechi zilizobaki hawajaita mastaa
Wameitwa hayo Magarasa yakamilishe ratiba
Ndiyo, na ukitaka kujua ni kahaba jiulize kazaa na wanaume wangapi?Kwahiyo diamond kazaa na kahaba?
Hongera mtaniAmekiwasha leo hatariii....
Assist ya goli la 3..mpira safi kabisa kutoka kwake
Asante mtanii...😄😄😄Hongera mtani
Mond kazaa na makahaba wawili,mmoja kazaa nae watoto wawiliKwahiyo diamond kazaa na kahaba?
Aziz K hata Yanga wanampanga kwa mazoea tu, alipaswa asugue benchi au apelekwe sehemu kwa mkopoBeki wa kushoto wa Simba SC, Valentin Nouma amerejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso (The Stallions), kinachojiandaa kucheza michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025, huku nyota wa Yanga Stephane Aziz KI akiachwa tofauti na ilivyozoeleka.
Chanzo: mwanaspoti_tz