Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kwanza waombe msamaha wasukuma wote uliowachamba ili tukupokee kwa uncle S 😹😹😹We niweke bwana mi nitakuwa namuangalia kama mu Arusha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza waombe msamaha wasukuma wote uliowachamba ili tukupokee kwa uncle S 😹😹😹We niweke bwana mi nitakuwa namuangalia kama mu Arusha.
President Wine au Ma Lot wine , ipi inafaa hapo , RafikiMambo muishi mkeo happy valentine mtaenda wapi??
Tunachelewesha watoto shuleHaha
Samahani blaza sisi ni wanaume sio vizuri kugombana kwa ajili ya mtoto wa kike.Kabla yeye hajakutag, Nani unamwita mume wa mchongo?
😍🤩😍Wow 🥰🥰🥰🥰 Gamic niseme nini tena, kwanza ahsante sana, kwa kunifatilia na kusoma nimejisikia vizuri sana, barikiwa sana.
Kweli Gemini wengi wana maneno mazuri, mimi ni Gemini na ninatabia karibu zote za kigemini. Comment yako naitamani niiprint 🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Umenifanya nitabasamu, nifurahi na kujisikia vizuri moyoni. Nyie raha ahsante tena na tena na pia karibu Gamic 🥰🥰🥰🥰🥰
HakikaSamahani blaza sisi ni wanaume sio vizuri kugombana kwa ajili ya mtoto wa kike.
Zote nzuri sema nzuri zaidiPresident Wine au Ma Lot wine , ipi inafaa hapo , Rafiki
Ile nguvu sasa huruhusiwi kumuwekea madawa mtu ili uishi naye anatakiwa akupende jinsi ulivyooPole...
Ile nguvu yako huwezi vuta mmoja humu unayetaka kuwa nae?
🥰🥰 kuanzia leo mimi ndiye mmiliki wa ziwa Victoria, nimepewa na my valentine huree😄financial services nakupenda sana hadi natamani nikumilikishe Ziwa VICTORIA na aina yote ya samaki wanaopatikana ziwani wawe wako peke yako.KARIBU.
View attachment 3234279 Thanks
😂😂😂😂😻😻😻❤️😂😍😘 babe nataka packageWangu sweery njoo babe nikupe mapenzi matamu kama hadithi za sikununu.............🥰🥰🥰🥰🥰😉
Ok ,nitaitafutaZote nzuri sema nzuri zaidi
Mmmnh toka huko😂😂😂,. Unavyonipanga sasa kama sio wewe😄