Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,walau hp umejua kunipoza presha,🤣🤣, tatizo unapotea sana mpk nasahauWe wangu wa kufa na kuzikana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,walau hp umejua kunipoza presha,🤣🤣, tatizo unapotea sana mpk nasahauWe wangu wa kufa na kuzikana....
Shida na Raha,🥰We wangu wa kufa na kuzikana....
Safi tu mke wanguHilo jina vipi?
Laazizi nitakupenda siku zote kama CCM wanavyopenda madaraka ya nchi hiiValentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
Bora ninyamaze utanichosha tu.Safi tu mke wangu
Kabla yeye hajakutag, Nani unamwita mume wa mchongo?🤣🤣🤣🤣 kumbe ni mume wa mchongo wa Ephen, akija unitagi ili kama hana hoja za msingi tusaidiane kumpopoa swaain huyu.
Hakika, just live. Mke wangu anaitwa ephen hutaki?Bora ninyamaze utanichosha tu.
HahahahaHakika, just live. Mke wangu anaitwa ephen hutaki?
Asante, wap sasa?
🤣🤣🤣unasqhau kama upo penzini?Hahahaha,walau hp umejua kunipoza presha,🤣🤣, tatizo unapotea sana mpk nasahau
Asantee sanaLaazizi nitakupenda siku zote kama CCM wanavyopenda madaraka ya nchi hii
Mambo muishi mkeo happy valentine mtaenda wapi??Hahahaha
Wow 🥰🥰🥰🥰 Gamic niseme nini tena, kwanza ahsante sana, kwa kunifatilia na kusoma nimejisikia vizuri sana, barikiwa sana.Bantu Lady unajua kumpenda huyo nyonga mkalia ini .
Miongoni mwa watu ambao huwa nawafuatilia kimya kimya hapa jamiiforums nione wame-comment kwa namna gani ili nijifunze namna ya kuandika kwenye jamii , Bantu Lady takes the cake,comments zako huwa zinamuonekano mzuri. Kumbe wewe ni Gemini kama Donald Trump. Donald Trump aliwahi kusema " I know words.I have the best words."
Kuna dada mwaka jana tarehe 19th November 2024 aliwahi kuniambia eti "I am a true gentleman who deserves the finest in everything." Huyo dada kuna idea yangu aliipenda ndo maana akaniambia hivyo.Nilivyokuja kufuatilia kumbe yule dada ni Gemini. Gemini huwa mna maneno mazuri yanayoweza kumshawishi mtu.
Tukutane wapi ijumaa ya valentine?
Hahahaha, ndio itakua hivyo...pakuenda nadhani ni pale Lavante Kwa Dinner ,hivi Wine Gani nzuri nimchukilieMambo muishi mkeo happy valentine mtaenda wapi??
Mie nampenda huyu hapa kijana kampelewele ,. Japo yeye hanipendi tena😔
HahaSiku imeharibika