kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Nakusubiri kwa Waziri Mkuu, mtoto mzuriValentine ndio hiyo Mupenzi😘😘,. Irudiwe basi kama mwaka jana🙈🙈
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusubiri kwa Waziri Mkuu, mtoto mzuriValentine ndio hiyo Mupenzi😘😘,. Irudiwe basi kama mwaka jana🙈🙈
Nina uwezo wa kumfungia mtoto mzuri hivyoWeee umejaa wapi?,. Wakati kila mahali umenifungia makufuli😓😑
Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tà kataka tuu.Love you Joanah
Kula Valentine huko huko ulipo, Mimi sina hela kwa sasa.
Au sio kama hivyo mtoa mada ?
Weee sema kweliNakusubiri kwa Waziri Mkuu, mtoto mzuri

Mmmnh toka huko😂😂😂,. Unavyonipanga sasa kama sio wewe😄Nina uwezo wa kumfungia mtoto mzuri hivyo
Happy birthday ooh no siyo, happy valentineAmesema kama Kuna mtu wamfeel humu....upo single lakin Kuna mtu unamfeel
Jana umelalamika anazingua kumbe wewe ndio unazingua... Haya kampe tunda kabla sijakuachia laanaMaake kwanza naona maajabu 😃😃😃,.
Amekuja amekuja![]()
😃😃😃😂😂😂,. Wacha niwahi nisije kosa zawadi ya valentineJana umelalamika anazingua kumbe wewe ndio unazingua... Haya kampe tunda kabla sijakuachia laana


Hapana maana naogopa mwaya kupigwa hujaoa tu badoUsijali nitakutoa wewe mtoto mzuri
Bado nakusubir ww utoke huko ChugastanHapana maana naogopa mwaya kupigwa hujaoa tu bado
BarikiwaMmmnh toka huko😂😂😂,. Unavyonipanga sasa kama sio wewe😄
UongooBado nakusubir ww utoke huko Chugastan
NionyesheeeYaani babe nakupenda wewe tu hapa duniani. 🤩
Kweli tena..hauamin?Uongoo
Siamini unanichora hapaKweli tena..hauamin?
Nitakupigia soon ili uamini.Siamini unanichora hapa