Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo swala lipo ndani ya uwezo wangu.Na sio nguo tu,kuna bonge la Surprise Valentine hii nakuambia.Nguo umeishaninunulia 😅
Bantu Lady unajua kumpenda huyo nyonga mkalia ini .Happy Valentine's ❤️ My Babe, my honey, my sweetheart, my Darling, nyonga mkalia ini, tajiri wangu, mkaka msafi, mpole, handsome wangu, mtu mwenye mapesa yake 🙌🙌🙌 My Everything.
Nakupenda halafu nakupenda tena, kila siku kwetu ni Valentine, unayejua kunituliza na hasira zangu za Kikuryq na tabia zangu za Gemini. Unanivumilia mengi, tumevuka mabonde na milima.
Najua unanipenda, naona jitihada zako, vitendo vyako kwangu, nina bahati ya kipekee. Kumpata mtu ananidekeza na kunijali sana. Kuelekea Valentine's hii nasema Ahsante kwa kila kitu. Usipunguze bali uongeze mpaka nichanganyikiwe 😅😅😅😅😅
Ukipita hapa utasoma ujumbe wako, unajijua, Nakupenda 💞💕💝💘❣️💋❤️
Nitaleta mrejesho 😀Hilo swala lipo ndani ya uwezo wangu.Na sio nguo tu,kuna bonge la Surprise Valentine hii nakuambia.
Utampatia mrejesho Mwenyekiti wa hapa SweetyCandy ndiye atapima uzito wa mrejesho...Nitaleta mrejesho 😀
Habari ni nzuri kiasi shem darling!Nipo Shem.
Abari yako.?? Nasubiria muamala nipo Kwa wakala mkuu hapa.
🙏Happy Valentine too
Weeeeeeh! Nakulavu kinoma noma♥️🥰🥰🥰🥰
I wish iwe kweli siku niwena mume anitoe out valentine
Okay,Habari ni nzuri kiasi shem darling!
Endelea kusubiri hapo hapo🤣
We niweke bwana mi nitakuwa namuangalia kama mu Arusha.Dada si ulisema kina Ngosha huwataki lakini 😹😹
We wangu wa kufa na kuzikana....Hahahaha,nahisi umeniacha 🤣🤣