PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Eeh maajabu chumba ukimaanisha I'd au!Nimejua chumba chako kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh maajabu chumba ukimaanisha I'd au!Nimejua chumba chako kingine
Kila mtu atachanganyikiwa kwa muda wake😂Nimeliona saivi nimecheka sana 🤣
YesEeh maajabu chumba ukimaanisha I'd au!
😀😁😁 Sina unanisingizia!
Huna haya!😀😁😁 Sina unanisingizia!
Yangu 💗Ndio nakupima hivyo. Hiyo picha ya nani🤩
Ndo maana unapenda hela we black beautiful 🖤Yangu 💗
What a lovely message my dear mtani...thank u very much....mutu murefu happy valentines in advance mtani wangu mkorofi 😀 uendelee kuwa mke bora kwa mumeo, na mama bora kwa watoto wako 😊🤗
Asante mkuu Njemba Soro. Najivunia uwepo wako ukanikumbuka...Kalpana kama hujatajwa jivunie nimekukumbuka.
Haya nairudisha, usijar@coca
cocastic ile profile picture ya kwanza naomba irudishe
BL, Ungemtag basi tusindikize na kibati, si umesema ana mapesa,Happy Valentine's [emoji3590] My Babe, my honey, my sweetheart, my Darling, nyonga mkalia ini, tajiri wangu, mkaka msafi, mpole, handsome wangu, mtu mwenye mapesa yake [emoji119][emoji119][emoji119] My Everything.
Nakupenda halafu nakupenda tena, kila siku kwetu ni Valentine, unayejua kunituliza na hasira zangu za Kikuryq na tabia zangu za Gemini. Unanivumilia mengi, tumevuka mabonde na milima.
Najua unanipenda, naona jitihada zako, vitendo vyako kwangu, nina bahati ya kipekee. Kumpata mtu ananidekeza na kunijali sana. Kuelekea Valentine's hii nasema Ahsante kwa kila kitu. Usipunguze bali uongeze mpaka nichanganyikiwe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ukipita hapa utasoma ujumbe wako, unajijua, Nakupenda [emoji179][emoji177][emoji307][emoji180][emoji3589][emoji182][emoji3590]
Atachukua muda kujibu maana simu naitengeneza imeharibika compressor, mpaka tuagize og 🤣🤣🤣🤣Happy Valentine's ❤️ My Babe, my honey, my sweetheart, my Darling, nyonga mkalia ini, tajiri wangu, mkaka msafi, mpole, handsome wangu, mtu mwenye mapesa yake 🙌🙌🙌 My Everything.
Nakupenda halafu nakupenda tena, kila siku kwetu ni Valentine, unayejua kunituliza na hasira zangu za Kikuryq na tabia zangu za Gemini. Unanivumilia mengi, tumevuka mabonde na milima.
Najua unanipenda, naona jitihada zako, vitendo vyako kwangu, nina bahati ya kipekee. Kumpata mtu ananidekeza na kunijali sana. Kuelekea Valentine's hii nasema Ahsante kwa kila kitu. Usipunguze bali uongeze mpaka nichanganyikiwe 😅😅😅😅😅
Ukipita hapa utasoma ujumbe wako, unajijua, Nakupenda 💞💕💝💘❣️💋❤️
Hawezi jibu kamwe 😅😅😅😅 mauhusiano yetu ni nje ya JF. Leo nimeamua kumchokoza humu tu bonjov ichunguze vizuri unipe siri zote humo 🤣🤣🤣🤣🤣Atachukua muda kujibu maana simu naitengeneza imeharibika compressor, mpaka tuagize og 🤣🤣🤣🤣
Joking Bantu Lady
Thanks Vere machee PSL kama familia tunasema tupo pamoja 🤣🤣
In advance wewe na Mume wako halali. 🫨Hilo jina vipi?
Dah! afadhali, kweli nimeamini ndege wafananao huruka pamoja, wife material ndio huyu sasa, unakuja na cement kabisaNgoja nije na mfuko wa simenti ili tujenge vizuri yasibomoke 🤣