Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Valentine inakaribia ila sina hata wa kuniletea ua

Shida ua tu na kulala south benga(beach), mie najitolea kufanikisha hayo.
Tanguliza muamala kwanza nkafanye booking...[emoji85][emoji85] halaf usije uliza uliza progress...ww jiandae tukutane tu ucku wa valentine utanikuta pale Getini
 
Yaani,unakuta watu wengine mapenzi ndio yanawatafuta nakuwalilia ,Mda ndio hawana,mapenzi ndio yanawasumbukia,kama hawa Akina mjomba,wengine SASA wanalialia Hadi huruma kujipendekeza wapi,sijui ninjia ipi takufata
Ukimpenda mtu shuti kujipendekezaaa
 
Tanguliza muamala kwanza nkafanye booking...[emoji85][emoji85] halaf usije uliza uliza progress...ww jiandae tukutane tu ucku wa valentine utanikuta pale Getini
Booking tayar, tukutane getini.

Bong dar es Salaam, prof jizze.
 

Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....

Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.

Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya Kigamboni halafu tulale huko huko. Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.

NB. Wale wa kuja PM siwataki jamani. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
mmmh madam, mama alikusomesha mpaka Masters halafu Mungu akasema na roho yake.
Mama akamwachia kaka ake (mjomba) akulee ila mbona Tena mjomba anakula badala ya KULEA?

#YNWA
 
Dada yangu bora ubaki hivyo hivyo
Mapenzi ni mateso sana
Mapenzi ni kuteseka
Mapenzi ni mpasuko wa moyo
Mapenzi ni giza zito
Mapenzi ni kadhia
Mapenzi ni kutoa na kujumlisha kisha ugawanye kwa sifuri
 
Back
Top Bottom