Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko naelekea kumtafutia msaidizi maana ameshindwa kwenda na kasi ya mambo haya...ila
Tanguliza muamala kwanza nkafanye booking...[emoji85][emoji85] halaf usije uliza uliza progress...ww jiandae tukutane tu ucku wa valentine utanikuta pale GetiniShida ua tu na kulala south benga(beach), mie najitolea kufanikisha hayo.
Ukimpenda mtu shuti kujipendekezaaaYaani,unakuta watu wengine mapenzi ndio yanawatafuta nakuwalilia ,Mda ndio hawana,mapenzi ndio yanawasumbukia,kama hawa Akina mjomba,wengine SASA wanalialia Hadi huruma kujipendekeza wapi,sijui ninjia ipi takufata
Mwenye BANYupii tena?
Booking tayar, tukutane getini.Tanguliza muamala kwanza nkafanye booking...[emoji85][emoji85] halaf usije uliza uliza progress...ww jiandae tukutane tu ucku wa valentine utanikuta pale Getini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
mmmh madam, mama alikusomesha mpaka Masters halafu Mungu akasema na roho yake.
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya Kigamboni halafu tulale huko huko. Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwataki jamani. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.
Nilijua tu, lazima mtu achezee za uso.I want...and I don't want.
Anazingua.Nilijua tu, lazima mtu achezee za uso.