EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Alifanyaje[emoji2960][emoji2960]Jamani my fav yupo na ban yake nzuri tu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifanyaje[emoji2960][emoji2960]Jamani my fav yupo na ban yake nzuri tu [emoji23][emoji23]
Anko wetu Anaupiga mwingi[emoji4]Ila kunawatu dunia hii wanabahati Sana,MTU ameoa ,bado nimjomba,nabado Hana Mda au time yakuspend Sana nahuyo ampendae Ila bado anapendwa hivyohivyo nabado anapewa heshima zote kama mmewandoa,some people actually were born luck,Tu,
Ila kuna wazee wapo romantic ile mbaya hadi unasema hivi huyu ni mzee kweli au ?Yule Ana mambo ya kizee hawez kuelewa maana ya hayaa
Kiaje ndugu yangu?Dunia ina mfuniko inawezekana mfuniko unaelekea kupotea
Kwa hiyo na wewe umeanza kutusifia @tinsley?😂Ila kuna wazee wapo romantic ile mbaya hadi unasema hivi huyu ni mzee kweli au ?
NdioKwa hiyo na wewe umeanza kutusifia @tinsley?😂
Dah! Dah!!![emoji23]Ndio
Sijaanza leo kuwasifia wazee mpo vizuri sana [emoji23]
Hahaha jamani rafiki [emoji23]Dah! Dah!!![emoji23]
Naomba nijifunze kunyamaza[emoji23][emoji23]
Sijui mkuu😂😂😂Alifanyaje[emoji2960][emoji2960]
Subiri kwanza rafiki...[emoji23]Hahaha jamani rafiki [emoji23]
Ongea tu .
Haya rafikiSubiri kwanza rafiki...[emoji23]
Tumeelwana mkuuuUmri pia unatufanya tuwe wazuri sana kujua kuwapenda waliokaribu yetu na sio wapenzi wetu tu bali ni jamii inayotuzunguka mfano yatima, wagonjwa nk na inatakiwa iwe ni jambo la kila siku na siyo swala la msimu bali liwe la milele.. Wazee wenzangu tumeelewana
Yaani,unakuta watu wengine mapenzi ndio yanawatafuta nakuwalilia ,Mda ndio hawana,mapenzi ndio yanawasumbukia,kama hawa Akina mjomba,wengine SASA wanalialia Hadi huruma kujipendekeza wapi,sijui ninjia ipi takufata
Nitajibu siku nyingneKiaje ndugu yangu?