Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kivipi... Kushangilia hovyo hovyo siyo sifa za timu kubwa... Simba ni timu kubwa.Mnatapatapa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi... Kushangilia hovyo hovyo siyo sifa za timu kubwa... Simba ni timu kubwa.Mnatapatapa sana
Afu hata furaha hana aisee.Nasikia alinuna bana hata siku ya ngao ya jamii aligomea kuvaa medali...
Kisa hakupangwa kikosi cha kwanza
Hizo ndo dalili za uzee...😃😃😃kususa susa
Huoni juzi alipangwa?? Kashaanza kuwa mkubwa kuliko utopolo..
Yaani ushamba wa kujumlisha matokeo sijui kawafundisha nani..😃😄😆Kwa kuwa wao wanajumuisha mwambie hiyo ni 15-1
Soon watajaa kwenye mfumo..soonAfu hata furaha hana aisee.
Wale wazee tunawatafuta sana waingie kwa 18 yetu
Kama mazwazwa....Yaani ushamba wa kujumlisha matokeo sijui kawafundisha nani..😃😄😆
Naona unaita vichaa jamvini
Ndo nani...
Yees. Pale safu ya nyuma combo ya Malone/Chamou/Hamza ina utulivu sana. Safu ya mbele ikiclick tu tutakata vilimilimi vyoteHata sura yake ina umasai flani 😃😃😃
Jana kakiwasha mnooo kwa sasa anacheza kwa kujiamini
Na combinenga yao imetiki...yeye Hamza na yeye na Karobue sijui anaitwa hivyo
Sijawahi kuona ushamba kama ule wa kutundika mabango na kujumlisha matokeo.Kama mazwazwa....
Ngoja aje utamjua🤣🤣...Ndo nani...
Ni mwendo wa shwaaaa waaahhhh...Yees. Pale safu ya nyuma combo ya Malone/Chamou/Hamza ina utulivu sana. Safu ya mbele ikiclick tu tutakata vilimilimi vyote
HahahahaNaona unaita vichaa jamvini
Akili 2 fc....Sijawahi kuona ushamba kama ule wa kutundika mabango na kujumlisha matokeo.
Hapa hatuna haja ya kumjua mtu...tunaandika tuuNgoja aje utamjua🤣🤣...
For sureHahahaha
Mpaka Sasa Bado sjamuelewa kabisa...For sure
Mtaelewana tuu,au unataka umchambe kama yule dada wa vocha zilizotumika😂Mpaka Sasa Bado sjamuelewa kabisa...
waliogopa asiwalaani maana laana za wazee sio nzuriNasikia alinuna bana hata siku ya ngao ya jamii aligomea kuvaa medali...
Kisa hakupangwa kikosi cha kwanza
Hizo ndo dalili za uzee...😃😃😃kususa susa
Huoni juzi alipangwa?? Kashaanza kuwa mkubwa kuliko utopolo..
Kuwa hakuna wenye akili Yanga zaidi ya baba yake na Jakaya...😆😄😃Akili 2 fc....
Hata manara aliwashangaa neno lake likatimia...