Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

Vanessa Mdee: Jux hawezi kitu kitandani

Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .
Sawasawa katoto.
 
Jux ni mtu tofauti sana .
Amevumilia mengi huyo vanessa ni mpumbavu hajatulia anajiona sana naalikuwa anamdharau jux anatembea na mastaa wakimarekani ila hajajua moja alipoteza nyota yake kama daimond alivyopoteza nyota yake .
Binadamu tumeumbwa kutotambua nyota yako unaenda kwa mikosi tu watu wasiokudhamini watu wasiokujali na unamtegemea asiyekuona unafaa.
Ndio maisha lakini vane baibai nyota yako.
Utaangalia mwa macho chote ulichovuna naye kinaliwa na mwingine isitoshe hicho kifua ulichokua unakilalia wakati umeshindwa jambo hakipo tena .

Dimond kapoteza nyota anapiga show watu 70k na sio Tz ... acheni utani
 
Kweli don't judge the book from its cover...

Kwa muonekane we nje Vanessa anaonekana ni mwanamke makini, mstaarabu na ambae hana mambo ya ajabu... kumbe ni tofauti kabisa... Hatari sana... zote hasira za kuachwa...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom