Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hapo akijibu short ni msala🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sanaaaaaa.
Ulichopitia huwa anakipitia, kuna siku anakutanaga na hadi PM 7 halafu mada tofauti.
Sema mi nae ni team kuchat hivyo tunaenda sawa.
Dah kweli una experience maana huwezi kujua haya hivihivi.Hapo akijibu short ni msala
Mkimaliza mada mda wa kuagana inaibuka nyingn
Mnachart jambo flan Kuna lingine linaibukia humo mpaka jioni upo hoy sana 🙌🙌🙌🙌
Ndo maana nakwambia namuonea huruma huyo jamaa, mara mia mwenye demand ya hela ukimpa anatulia Nyie wa mda apana Kwa kwelDah kweli una experience maana huwezi kujua haya hivihivi.
Ukitumiwa gazeti unajipinda kujibu gazeti, hakuna kujibu short unakata stim.
Kuna siku huwa tunachart kutwa nzima hadi usiku na vya kuongea haviishi! Lols
kila la heri, maana, kule kwingine ulikuwa umepotea, alikuwa anakutumia kutafuta umaarufu tu.Laki shemeji yangu, nimerudi kwa yule ndugu yako ujue?
Yule ndio kiboko yangu, nimetulizana mie.
Kwake hakuna baadae tena, ni milele.
Hawa wanaohitaji muda ndio wenye mapenzi ya kweli sasa, wanaohitaji pesa ndio hawa kila siku wanalalamikiwa na wanaume kwamba hawana mapenzi ya kweli, tatizo hamueleweki mkipendwa shida msipopendwa napo shida duuhNdo maana nakwambia namuonea huruma huyo jamaa, mara mia mwenye demand ya hela ukimpa anatulia Nyie wa mda apana Kwa kwel
Kumbe na wew umeliona hilo ndugu,.. Mi nkajua nmeona peke yanguHehehe huyo dogo mbona jux mtupu hadi masikio
Vanessa Mdee ni Mtoto wa Chuga, mjanja sio boyaKama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani.
Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika mitandao kama ambavyo mastaa wengine wakubwa nchini na ulimwenguni kote hufanya.
Usiri ulikuwa mkubwa ambao ulitupa wakati mgumu ‘wambea’ na hata wenye mapenzi mema juu yao waliopenda kuyaona matunda hayo ya mapenzi yao.
Usiku wa kuamkia leo hii, hatimaye kitendawili kimeteguliwa na wapenzi hao kwa kuweka hadharani picha za familia yao hiyo yenye kuvutia machoni na kuleta tabasamu kwa tunaoamini ktk mapenzi ya ukweli na familia bora.
Mwana JF, kipi kimekuvutia zaidi?
Ladies, na sisi Mungu atuwekee mkono aliomuwekea Vanessa?
Maoni yangu: Vanessa ni mfano hai wa 'bongo bahati mbaya'. Kila kitu chake ni levels.
Fashion wise, anavyoishi bongo hii tulikuwa tunamuonea tu.
Keep on smiling my girl, keep shining the World needs your light.
I'm happy for you Vee.
View attachment 2822936
Kina Juma tumekukosea nini?Kilichonivutia ni namna dada yetu alivyonawiri sana,kweli penzi la kweli tamu ukilipata unatakata tu pasipo hata kupaka lotions. VANESSA ni wakumshinda hips Ruby kweli?Kila lakheri kwao Mungu awasaidie wafunge hiyo ndoa yao mwakani kama walivyosema.
P'se girls epukeni kudate na mwanaume anayeitwa Juma watakunyonyoa ukose nuru kama kuku kishingo hahaha,
Sisi waroma tunaita ndoa sugu, na hao watoto wanaitwa kalokotwe, wakifunga ndoa wanaitwa watoto wa fravian.Amelipa mahari?
Hii niliisikia kwa wapopo. Kuna wakati alikua anawadangia wapopo Nigeria na washua wa kighana.Nilisikiaga ma don sehemu wanamsifia Vanesa kuwa fundi sana kitandani na mtundu mbaya
Kabisa. Na Vanessa mstaarabu sana very humble sio mtu wa kujikweza kabisa.Kumbe watu mnajua mengi na hamsemi? Ila bora kajipata mwenyewe katulia na ana familia bora.
She's one lucky girl.
Huku maza kauza nyumba 600m sijui shida ni nini maza nyumba iko sehemu nzuriKwa furaha aliyonayo Vee ni mahari tosha, ila ndoa mwakani InshaAllah.
[emoji23]Huwezi kiwekewa mkono aliowekewa vanessa ni ngumu. We tafuta migulu baja wako mnaeendana
We ni Msukuma sio....Kama tunavyofahamu, Vanessa na mchumba wake Rotimi wamefanikiwa kupata watoto wawili, wa kiume Seven na wa kike Imani.
Kwa kitambo, Vanessa na mwenzi wake hawakuwahi kuwaonesha watoto wao katika mitandao kama ambavyo mastaa wengine wakubwa nchini na ulimwenguni kote hufanya.
Usiri ulikuwa mkubwa ambao ulitupa wakati mgumu ‘wambea’ na hata wenye mapenzi mema juu yao waliopenda kuyaona matunda hayo ya mapenzi yao.
Usiku wa kuamkia leo hii, hatimaye kitendawili kimeteguliwa na wapenzi hao kwa kuweka hadharani picha za familia yao hiyo yenye kuvutia machoni na kuleta tabasamu kwa tunaoamini ktk mapenzi ya ukweli na familia bora.
Mwana JF, kipi kimekuvutia zaidi?
Ladies, na sisi Mungu atuwekee mkono aliomuwekea Vanessa?
Maoni yangu: Vanessa ni mfano hai wa 'bongo bahati mbaya'. Kila kitu chake ni levels.
Fashion wise, anavyoishi bongo hii tulikuwa tunamuonea tu.
Keep on smiling my girl, keep shining the World needs your light.
I'm happy for you Vee.
View attachment 2822936