Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

A real catholic!!!.... Namsubiri mfuasi wa dini ya Mwanamke
 
Popote mlipo, mauti yatakufikieni, hata kama mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti..."
(Qur'an 4:78)

Aya hii inasisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kuepuka kifo, hata akijificha au kujilinda kwa namna yoyote ile.
Fictional Pope alishakufaga.
Popote mlipo, mauti yatakufikieni, hata kama mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti..."
(Qur'an 4:78)

Aya hii inasisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kuepuka kifo, hata akijificha au kujilinda kwa namna yoyote ile.
 
Hapana mm sio msabato

Navyojua hakuna mwema chini ya jua hili hata Yesu alisema alipoulizwa yeye ni mwema!

Kuokoka sijaona mahala Yesu kasema kuokoka sana sana alisisitiza tubuni na kuiamini injili ufalme wa Mungu umekaribia
John 3:3,5
[3] Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.

[5] Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
 
Haya.
 
๐Ÿ˜Mswahili katika ubora wake.

Hako 'ka kijidhehebu' kako wamekuletea wao, leo hii ukawafundishe cha kufanya!
dhehebu langu nimeletewa na katoliki? hapo ndipo mnapokosea, kivipi? halafu, aokoke atubu dhambi za kuabudu masanamu ya maria na yesu, atubu kusali kwa kupitia jina la maria na yosefu badala ya Jina la Yesu Kristo, pia, atubu kwa kuwa na kigugumizi kukemea ushoga. kwa kifupi yeye na wakatoliki wote duniani mnahitaji kuokoka.
 
Tutamchinja mmoja hadharani kama mbuzi tuone kama utaendelea kuishi kwa amani
Wee amka, utajikojolea buree!! Unachekesha wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo Papa anatakiwa aongozwe Sala ya Toba. Maana aliyumba ktk kusimamia misingi ya Biblia.
 
Wewe ndiye hujui Maandiko. Masuala ya Ufalme wa Mungu hayarithiwi. Ni Mungu mwenyewe ndiye humteua mtu. Musa alirithi kwa nani? Je Eliya alirithi kwa nani? Je Petro alirithi kwa nani? Hicho cheo cha Papa sio cha ki Boblia na hivyo siobcha Kikristo. Ni cheo cha kikatoliki yaani cha dini ya Katoliki. Ndio maana mapokeo mengi ya Katoliki siyo ya kibiblia. Mfano tu kama wanadai kuwa Papa alirithi kiti cha Petro Je Petro alikuwa mkatoliki? Je petro hakuoa?
Ningewaelewa angalao wangesema amerithi kiti cha Paulo. Kwanini? Kwasababu Paulo ndiye alikuwa Mtume kwa Mataifa. Petro alikuwa Mtume kwa Wayahudi. Paulo hakuoa lakini Petro alioa. Bahati nzuri Utume haurithiwi bali Yesu mwenyewe ndiye huteua!
 
Surat Aal-Imran (3:85)
"Na anayetafuta dini isiyokuwa Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye Akhera atakuwa miongoni mwa wenye hasara."
Unaleta maneno ya kitabu ambacho kimeletwa na adui wa Jibril hahahaha ambaye ni iblis. Hahahaha so uislam ni dini yake Iblis.

Quran 2:97

Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha (2:97)​


๏ดฟู‚ูู„ู’ ู…ูŽู† ูƒูŽุงู†ูŽ ุนูŽุฏููˆู‘ู‹ุง ู„ู‘ูุฌูุจู’ุฑููŠู„ูŽ ููŽุฅูู†ู‘ูŽู‡ู ู†ูŽุฒู‘ูŽู„ูŽู‡ู ุนูŽู„ูŽู‰ูฐ ู‚ูŽู„ู’ุจููƒูŽ ุจูุฅูุฐู’ู†ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ู…ูุตูŽุฏู‘ูู‚ู‹ุง ู„ู‘ูู…ูŽุง ุจูŽูŠู’ู†ูŽ ูŠูŽุฏูŽูŠู’ู‡ู ูˆูŽู‡ูุฏู‹ู‰ ูˆูŽุจูุดู’ุฑูŽู‰ูฐ ู„ูู„ู’ู…ูุคู’ู…ูู†ููŠู†ูŽ๏ดพ
[ ุงู„ุจู‚ุฑุฉ: 97]
 
Hata Mudy alikufa na hata nyie Green Guard mtakufa .....endeleeni kuwaua chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ