Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

Umechanganyikiwa.

Papa Francis alirithi kiti cha mtume Petro pale Vatican(Holy-see) tena alitoa moshi mweupe.

Mt.16:18=Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Mtume Petro ndiye aliyekuwa Papa wa kwanza wa kanisa la ki-ulimwengu katoliki.

Yohane 13:1 = Mwenyezi-Mungu amewapenda watu wake katika ulimwengu ( Watu wake Mwenyezi-Mungu ni Wakatoliki.Neno Catholic huwa linamaanisha Ulimwengu), naam aliwapenda upeo. ( alitupenda upeo ndio maana wakatoliki huwa tuna Akili-kubwa) akamtoa mwanae wa pekee ili ulimwengu upate kukombolewa.

Kwa hiyo Papa Francis na wakatoliki tumesha mpokea Yesu Kristo toka enzi za mitume wake.Tuna mkiri na kumsifu Yesu Kristo katika kila Dominika.

Hata ikitokea Mungu akamchukua,Papa Francis ataenda mbinguni.Na atakuja Papa mwingine atakalia kiti cha mtume Petro ili Yesu Kristo aendelee kulijenga kanisa lake juu ya mwamba huo.
A real catholic!!!.... Namsubiri mfuasi wa dini ya Mwanamke
 
Popote mlipo, mauti yatakufikieni, hata kama mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti..."
(Qur'an 4:78)

Aya hii inasisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kuepuka kifo, hata akijificha au kujilinda kwa namna yoyote ile.
Fictional Pope alishakufaga.
Popote mlipo, mauti yatakufikieni, hata kama mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti..."
(Qur'an 4:78)

Aya hii inasisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kuepuka kifo, hata akijificha au kujilinda kwa namna yoyote ile.
 
Hapana mm sio msabato

Navyojua hakuna mwema chini ya jua hili hata Yesu alisema alipoulizwa yeye ni mwema!

Kuokoka sijaona mahala Yesu kasema kuokoka sana sana alisisitiza tubuni na kuiamini injili ufalme wa Mungu umekaribia
John 3:3,5
[3] Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.

[5] Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
 
Huyu Francis alikuwa anafuata order tu kilazima toka Black pope au mkuu wa order ya majesuits ,huyu mkuu waJesuits ndio real pope aka black pope ,ndio director halisi wa shughuli za kijasusi na utawala ndani ya kanisa ,huyu pope anayevaa gauni jeupe ni symbolic Tu .
Pope halisi ni huyu Jesuit mkuu anayevaa gauni jeusi , huyu mtu ni hatari sana ,na always mapapa ambao wamekuwa wakihitilafiana na hawa majesuits wamekuwa wakifa bifo vya kutatanisha sana , kupewa sumu ,kama walivyofanya kwa pope John hasa alipoanza kufukua mirija ya uchafu wa money laundering na wizi wa pesa za kanisa ( scandal ya Banco Ambrosiano ) huko Italy ,issue ya kanisa kushirikiana na vikundi vya wahalifu sugu aka mafioso aka Cosanostra huko Italy enzi hizo
Jesuits Ndio wazee wa kazi chafu na agenda zote za kishetani ndani ya kanisa .
Na ndio walio nyuma ya agenda ya lgbtq ndani ya kanisa ,na bila shaka anayekuja ndio atakuwa real puppet wa hawa washenzi
Haya.
 
😁Mswahili katika ubora wake.

Hako 'ka kijidhehebu' kako wamekuletea wao, leo hii ukawafundishe cha kufanya!
dhehebu langu nimeletewa na katoliki? hapo ndipo mnapokosea, kivipi? halafu, aokoke atubu dhambi za kuabudu masanamu ya maria na yesu, atubu kusali kwa kupitia jina la maria na yosefu badala ya Jina la Yesu Kristo, pia, atubu kwa kuwa na kigugumizi kukemea ushoga. kwa kifupi yeye na wakatoliki wote duniani mnahitaji kuokoka.
 
Tutamchinja mmoja hadharani kama mbuzi tuone kama utaendelea kuishi kwa amani
Wee amka, utajikojolea buree!! Unachekesha wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua.

Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
View attachment 3245826
Huyo Papa anatakiwa aongozwe Sala ya Toba. Maana aliyumba ktk kusimamia misingi ya Biblia.
 
Umechanganyikiwa.

Papa Francis alirithi kiti cha mtume Petro pale Vatican(Holy-see) tena alitoa moshi mweupe.

Mt.16:18=Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Mtume Petro ndiye aliyekuwa Papa wa kwanza wa kanisa la ki-ulimwengu katoliki.

Yohane 13:1 = Mwenyezi-Mungu amewapenda watu wake katika ulimwengu ( Watu wake Mwenyezi-Mungu ni Wakatoliki.Neno Catholic huwa linamaanisha Ulimwengu), naam aliwapenda upeo. ( alitupenda upeo ndio maana wakatoliki huwa tuna Akili-kubwa) akamtoa mwanae wa pekee ili ulimwengu upate kukombolewa.

Kwa hiyo Papa Francis na wakatoliki tumesha mpokea Yesu Kristo toka enzi za mitume wake.Tuna mkiri na kumsifu Yesu Kristo katika kila Dominika.

Hata ikitokea Mungu akamchukua,Papa Francis ataenda mbinguni.Na atakuja Papa mwingine atakalia kiti cha mtume Petro ili Yesu Kristo aendelee kulijenga kanisa lake juu ya mwamba huo.
Wewe ndiye hujui Maandiko. Masuala ya Ufalme wa Mungu hayarithiwi. Ni Mungu mwenyewe ndiye humteua mtu. Musa alirithi kwa nani? Je Eliya alirithi kwa nani? Je Petro alirithi kwa nani? Hicho cheo cha Papa sio cha ki Boblia na hivyo siobcha Kikristo. Ni cheo cha kikatoliki yaani cha dini ya Katoliki. Ndio maana mapokeo mengi ya Katoliki siyo ya kibiblia. Mfano tu kama wanadai kuwa Papa alirithi kiti cha Petro Je Petro alikuwa mkatoliki? Je petro hakuoa?
Ningewaelewa angalao wangesema amerithi kiti cha Paulo. Kwanini? Kwasababu Paulo ndiye alikuwa Mtume kwa Mataifa. Petro alikuwa Mtume kwa Wayahudi. Paulo hakuoa lakini Petro alioa. Bahati nzuri Utume haurithiwi bali Yesu mwenyewe ndiye huteua!
 
Surat Aal-Imran (3:85)
"Na anayetafuta dini isiyokuwa Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye Akhera atakuwa miongoni mwa wenye hasara."
Unaleta maneno ya kitabu ambacho kimeletwa na adui wa Jibril hahahaha ambaye ni iblis. Hahahaha so uislam ni dini yake Iblis.

Quran 2:97

Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha (2:97)​


﴿قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ﴾
[ البقرة: 97]
 
Popote mlipo, mauti yatakufikieni, hata kama mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti..."
(Qur'an 4:78)

Aya hii inasisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kuepuka kifo, hata akijificha au kujilinda kwa namna yoyote ile.

Popote mlipo, mauti yatakufikieni, hata kama mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti..."
(Qur'an 4:78)

Aya hii inasisitiza kuwa hakuna mtu anayeweza kuepuka kifo, hata akijificha au kujilinda kwa namna yoyote ile.
Hata Mudy alikufa na hata nyie Green Guard mtakufa .....endeleeni kuwaua chadema.
 
Back
Top Bottom