Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Maisha ya kukulia kulala kitanda ambacho uvungini anaatamia kuku ,ni tabu sana .

Ziro ni mbaya sana .Elimu ni mhimu maishani
Kuna wanaokulia maisha duni,lakini wakajengewa msingi wa maadili na ari ya upambanaji. Wanakuwa watu wa mfano sana,ila kwa huyu .......hata sielewi asee
 
Hivi huyu ndio alisema ameongea na Mungu juzi ?

Ndiye huyo, haogopi hata kidogo!!, kuongea na Mungu???!!,😁😁.

Of course yes, mtu anaweza kuongea na Mungu-- lakini ni mtu wa calibre ipi?? hilo ndilo swali la kujiuliza.
 
hii naitaga ni zzeerroo brain yaani akili ya kuku,uyu jamaa atakuwa anadharau wachaga,,,dawa yake nikupiga chupi chini ,avunjike huo mguu,
 
Kiongozi lazima ujiheshimu maadili ni muhimu anavaa masuruali yaliyochanwa chanwa kwenye magoti kama wale wavuta bangi wa stendi tofauti ikowapi?
 
Ninachohoji mimi kwa wale ambao wanamponda kwa kuvaa hivyo leo msibani.
Pasi na kuangalia kwamba huyo anatakiwa nyakati zote anapokuwa katika umma wa watu avae kistaarabu.

Sasa kuna watu baadhi ya watu wao wanalaumu mavazi yake kwa picha ya kuwa kwa nini kavaa vile msibani.

Mimi ninachosema kwamba isiwe msibani tuuu bali kokote atakako kuwa akiwa katika umma wa watu.

Nakataa hayo mavazi lakini soyakatai kwenye msiba tu.nayakataa kwa ujumla wake iwe msibani au wapi.

Kama mtu ataona kwamba hilo vazi makonda inafaa kuvaa katika jambo lingine la kijamii basi nadhani hata hapo itafaa kwa sababu hakuna cha msingi cha kumzuwia hapo na kwingine kimruhusu.
Kiongozi lazima ujiheshimu maadili ni muhimu anavaa masuruali yaliyochanwa chanwa kwenye magoti kama wale wavuta bangi wa stendi tofauti ikowapi?
 

Mbona unapata tabu mkuu kuyasema yote hayo na kuwaza mambo meengii juu yangu.

Unanizuwia nisiongee kwa kuhofia hisia zako kwangu mkuu?

Kwa hyo unasemaje sasa kwamba Mungu yupo kanisani na nje ya kanisa au siyo?
 
Kiongozi lazima ujiheshimu maadili ni muhimu anavaa masuruali yaliyochanwa chanwa kwenye magoti kama wale wavuta bangi wa stendi tofauti ikowapi?
Kwa hiyo kuvaa vile sio kwamba haifai kanisani tu bali hata kuvaa popte pale kwenye jamii na haifai kuvaa kwa yeyote yule au siyo mkuu?
 
Yani wachaga watu wa ajabu sana pamoja na makonda kuwatukana lakini bado mumemkaribisha huko moshi,ingekuwa kule Tarime walisha mtoa nyongo.
 
Ama kweli Mungu akikupa wowowo anakunyima akili [emoji53][emoji53]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani uko serious unauliza swali la kijinga hivii???? Wewe msikitini unaendaga na boksa kama unavyoshinda chumbani kwako???
Wewe unashinda chumbani kwako na boksa au unashinda na jeans chumbani kama makonda?

Yaani ukos siriaz unatoa mfano wa jeans kufananisha na boksa mdogo wangu rikiboy?

Jeans haifai kuvaa msibani na kanisani tu ila sehemu zingine inafaa au jeans(kama ya makonda)haifai kuvaliwa popote pale katika jamii kwa uono wako waonaje?
 
Wee jamaa hujielewii kabisaaa... Ni mpumbavuu! Kama hujui suala la mipaka ya mavazi rudi la saba b... shwain kabisaaa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Msiba wa kanisani mipaka yake ya mavazi ikoje?

Na hiyo mipaka imewekwa kwa ajili ya kumheshimu nani?
 
NI VAZI wakilishi kwa serikali ya Tanzania
 
Kwa heshima aliyo nayo hakustahili kuvaa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…