Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Kuna wanaokulia maisha duni,lakini wakajengewa msingi wa maadili na ari ya upambanaji. Wanakuwa watu wa mfano sana,ila kwa huyu .......hata sielewi aseeMaisha ya kukulia kulala kitanda ambacho uvungini anaatamia kuku ,ni tabu sana .
Ziro ni mbaya sana .Elimu ni mhimu maishani