Vazi la Makonda lazua mjadala hapa Moshi

Anaeongelewa ni RC na si msela wa mtaani. RC ni public figure, anatakiwa kuelewa hilo.
Ma DCs,RCs na public figures walikuwepo wegi sana, kwa nini aongelewe RC mmoja tu kati ya wengi?
tukubali hapo kuna tatizo, kama binadamu anatakiwa kulifanyia kazi. Haiwezekani jamii inamuona yeye tu kila wakati. Anatakiwa kutafakari, hayuko mbinguni bali ni duniani. Sio afya kwa kiongozi kuitwa mbele ya halaiki na mtumishi wa Mungu kupatanishwa kwa matamshi ya maudhi. N ahili la mavazi ni yeye tu?
Namshauri ndugu yetu atafakari, kibri hakitamsaidia sana hapa duniani.
 
Kinachohalalisha pale asivae ni kipi?
Na kinachohahalisha siku zingine zisizokuwa za msiba na watu weng]ne wasiokuwa yeye wavae ni kipi?
Wee fala elewa pale ni Kanisaniiiii.....!!
 
...........Siijui imani yako ila nikuulize Msikitini muumini anaweza kuingia kavaa jeans iliyotoboka toboka?

Nakuuliza hivi coz ungekuwa Mkristo ungekuwa unajua hilo ni dhahiri kuuliza kwako sio imani yako hii.
Mbona hatuoni yakikemewa katika siku za kawaida?

Kwanini ikemewe msibani alafu siku za kawaida isikemewe?

Au Mungu yupo msibani na siku za kawaida kanisani hayupo?
 
Mkuu lakini kuna mambo mtu unatakiwa kuangalia pia...
Angalia hadhi yako kwenye jamii na uangalie na uzito wa tukio lile halafu unakwenda umevaa suruali kama ile....!
Mkuu mbona siku za kawaida akivaa halaumiwi na kusemwa?

Mungu wa msibani pale ambapo hatakiwi kuvaa jinzi na Mungu wa siku za kjawaida kanisani ni tofauti?
 
Wee fala elewa pale ni Kanisaniiiii.....!!
Ninachouliza hivi mkuu rikiobo..

Pale kanisani imekuwa haramu leo tu kwa kuwa kafa Mengi lakini siku zote sio haramu ?

Mungu wa pale kanisani ni tofauti na Mungu wa siku zote za kawaida pale kanisani tukiacha leo msibani?
 
[emoji848][emoji848]
Ninachouliza hivi mkuu rikiobo..

Pale kanisani imekuwa haramu leo tu kwa kuwa kafa Mengi lakini siku zote sio haramu ?

Mungu wa pale kanisani ni tofauti na Mungu wa siku zote za kawaida pale kanisani tukiacha leo msibani?
 
Huyo jamaa uliyem-quote anaweza hata kwenda msikitini amevaa bikini tu.
Sisi hatuna unafiki wa kukatazana misibani ilhali alafu siku za kawaida eti tunaachana yuvae.

Kwetu sisi kisichovaa kuvaliwa msibani basi hakifai kuvaliwa nje ya msiba mbele za watu.
 

Kwani yapi ndio Mavazi ya kanisa’
 
Sisi hatuna unafiki wa kukatazana misibani ilhali alafu siku za kawaida eti tunaachana yuvae.

Kwetu sisi kisichovaa kuvaliwa msibani basi hakifai kuvaliwa nje ya msiba mbele za watu.
Sawasawa basi endeleeni kuvaa bikini na shanga.
 
Ninachouliza hivi mkuu rikiobo..

Pale kanisani imekuwa haramu leo tu kwa kuwa kafa Mengi lakini siku zote sio haramu ?

Mungu wa pale kanisani ni tofauti na Mungu wa siku zote za kawaida pale kanisani tukiacha leo msibani?
Kumbe uelewa wako mdogo sanaa etii eehe..! ndo maana statement ya pili nimeondoa suala la Msiba labda utaelewaa.. slow learner[emoji22][emoji22][emoji22][emoji119][emoji119]
 
Mh, nabaki najiuliza....
1. Ilikuwaje akachaguliwa kuwa kiongozi?
2. Na huyo aliyemchagua alitumia kigezo gani?
3. Je haya yote anayofanya huyu jamaa, Mkubwa hayaoni au?
4. Kuna uhusiano gani uliojificha kati ya huyu jamaa na mkubwa?

Hakuchaguliwa na mtu yeyote bali aliteuliwa; kuna tofauti mkuu!
 
[emoji848][emoji848]
Na hilo ndo lengo la swali langu.

Sijui kwa sababu kafa Bwana mengi ndio maana isifae kuvaa jeans.

Ila siku za kawaida watu wanaenda kumuabudu Mungu kanisani na majeans yanavaliwa hayakatazwi.

Ina maana mengi ni Mkubwa kuliko Mungu wa siku za kawaida za ibada pale kanisani kiasi kwamba isifae kuvaa jeans kwenye msiba wake?
 
Either kuna msiba au Hakunaa... lile sio vazi sahihi kuvaaa kanisanii hasa kwa mtu mwenye hadhi yakee...!![emoji22][emoji22][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…