Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanza anatakiwa awe magereza kwa uharifuSasa hivi anapambana kuhamasisha Wakulima wa Tumbaku huko [emoji23][emoji23] Hakuna kiki kule Toronto
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Sijui kama umeelewa msingi wa hoja yangu.Kiongozi kitenda maovu siyo sifa, hata uwe anatumika awamu gani.
Kama unawafahamu waliotenda mabaya waseme tu , umma unataka kufahamu mabaya yao.
😂😂😂😂Vetting system? Tanzania?
Ambapo Rais anachomekewa jina la Mwana Uvaccm awe CEO wa TPDC??
Juha wewe kwani sabaya alijiteua? Hata kama ni mtuhumiwa lakini kwa makosa yale yanatosha kuonesha magufuli alikuwa kiongozi wa hovyo sana.Acha ujuha we kereg'ende. Kila kitu lawama zako ni utawala wa hayati JPM. Sabaya ni mtuhumiwa bado hajatiwa hatiani.
Nimekuelewa fika mkuu, lakini huna hoja.Sijui kama umeelewa msingi wa hoja yangu.
Nchi hii kwenye nafasi za kupeana kisiasa hakuna vetting zaidi ya connection na nepotismTulioona mengi kwa miaki mingi tunafahamu kuwa kiongozi hakuibuka tu, na kupewa madaraka ya juu.
Wakati wa Mwalimu walienda mbali zaidi, viongozi walipikwa wakapikika. Na walijua mwishowe kuwa madaraka ya mwiho ni kauli ya wananchi kwa ujumla wao.
Na viongozi walipelekwa mafunzo, iwe JKT, Vyuo vya Chama na hadi Kivukoni.
Pamoja na kuwapika, viongozi walichujwa, Idara za Usalama walipitia historia zao na walipitia interview za kutosha. System ilipoona mtu anafaa kuwa kiongozi, hapo ndio anakuwa recommended kupewa madaraka kuanzia akiwa kijana hadi ngazi za juu.
Sasa leo watu kama Ole Sabaya, wabakaji, wezi, watumiaji madraka ovyo, wenye tabia chafu, kumetokea nini katika vetting system yetu nchini?
Badala ya kupata viongozi tunapata mbweha!
Kuna kitu ni seriously wrong.
Kweli kabisa.Nchi hii kwenye nafasi za kupeana kisiasa hakuna vetting zaidi ya connection na nepotism
na hapo ndipo tunafeli. huwez kutegemea performance ipande kiutendaj kwa kutukia mfumo ule ule.Nchi hii kwenye nafasi za kupeana kisiasa hakuna vetting zaidi ya connection na nepotism
Makonda is untouchableMbona huulizi ya Makonda?
Bado wapo wengi sana wataburuzwa kwa pilato
Kama teuzi za Samia Hassan ndio za ajabu ajabu hadi basina hapo ndipo tunafeli. huwez kutegemea performance ipande kiutendaj kwa kutukia mfumo ule ule.
Mtu mshamba madaraka hayamfaiKitu cha ajabu huyu jamaa na makonda wana similarly characters toka zamani sijui wapi tunafail
Ilikuwa untouchable,Makonda is untouchable
Usimlinganishe mzee wetu Sokoine na hao wahuniToka lini Masai akaweza ongoza watu Sokoine matatizo tupu,sabaya baba sabaya mwana matatizo tupu.
Hakuna mtu anakula maisha duniani kumzidi Paulo Makonda, hata mama Samia analijua hilo na wakubwa zao wanalijua hilo.Ilikuwa untouchable,
Sasa hivi ni sawa na mlevi wa gongo tu
Acha ujuha we kereg'ende. Kila kitu lawama zako ni utawala wa hayati JPM. Sabaya ni mtuhumiwa bado hajatiwa hatiani.
Very soon utasikia yupo upanga anahojiwa na pccbHakuna mtu anakula maisha duniani kumzidi Paulo Makonda, hata mama Samia analijua hilo na wakubwa zao wanalijua hilo.
Ulijjwaaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole sana mjane,bdo.mpo wengi tu ucjal utapata baby mwingne
Naona kuna Watu enzi za Utawala uliopita mlikuwa mnanunuliwa mpaka chupi.Acha ujuha we kereg'ende. Kila kitu lawama zako ni utawala wa hayati JPM. Sabaya ni mtuhumiwa bado hajatiwa hatiani.
ZafananaUsimlinganishe mzee wetu Sokoine na hao wahuni