nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,503
Wenye vibanda barabarani wakikaa hapo kwa miaka kama kumi watajiona kama wana umiliki wa hayo maeneo watajenga mpaka frem za zege kabisa na kupangishiana
watu watakuwa wanachukua kodi kabisa tukitaka kupanua barabara tutaambiwa ni bora angekuwa Magufuli na blah blah nyingi watahitaji fidia jambo ambalo haliwezekani ukibomoa ni kizungumkuti, kuwaambia wahame pekee yao hawawezi kuhama
watu watakuwa wanachukua kodi kabisa tukitaka kupanua barabara tutaambiwa ni bora angekuwa Magufuli na blah blah nyingi watahitaji fidia jambo ambalo haliwezekani ukibomoa ni kizungumkuti, kuwaambia wahame pekee yao hawawezi kuhama