Yapo na hawataki eti hakuna wateja, Si kweli. watu watazifuata ziliko kama sasa mtu anatoka Tegeta kwenda Karume kufuata mitumba au sokoni Ilala. Watu wanakwenda kufuata nguo na bidhaa za sokoni huko tandika kutoka kimara.This was a mistake to allow them to do business everywhere. Hawa watu wapangiwe maeneo ya kufanya biashara na waende huko. Hizi mambo za kuweka biashara kwenye barabara ni uchafu mtupu. Halafu watalipaje kodi sasa?