Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nzuri somehow. Ila wapelekwe sehemu poaGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Una akili kubwa sana. Kuna watu wanashangilia tu bila kuwaza kuwa wanaofanyiwa hivyo nao ni watanzania na wana familia za kuzilishaHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Una akili kubwa sana. Kuna watu wanashangilia tu bila kuwaza kuwa wanaofanyiwa hivyo nao ni watanzania na wana familia za kuzilishaHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Ye alikuwa anataka kodi na umaarifu wa kisiasa. Hakujali usafi wa miji.Hiyo ni lazima mkuu, lazima wataanza kusema angekuwepo tusingetolewa
Hiyo ni sawa kabisa, isiishie Dar tu iende mpaka mikoani! Kwa ufupi marehemu alikuwa punguani!Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Hawajambiwa waondoke wametakiwa kuondoa vibanda watumie miamvuliWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Hawajambiwa waondoke wametakiwa kubomoa vibanda watumie miamvuliHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Hii kama ni kweli ,inafurahisa zaidi.Unajua wasiojua wanaweza sema ni uonevu,lakini ule uliliwa ni zaidi ya ujinga na fujo.Biashara mpaka barabarani kabisa,Kisa eti watu wamelipia elfu 20.Magari yanawakwepa wafanya biashara.mfano kuanzia Buguruni mpaka mnazi mmja barabara zote za waenda kwa miguu zilizgeuka masokoGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es Salaam.
Arusha pale stendi mpaka kuja idara ya maji ni noma asee[emoji848][emoji848]karibu mikoa yote Arusha je? utalia
Mnamuwashia nani?haondoka mtu, lazima tukiwashe!!
Full kuaga kistailiHaha, ila mwendazake huku mwishoni alikuwa kama amedata. Maamuzi ya ajabu yalizidi
Upo sawaAliwatengenezea matatizo ya kuwafanya wawe masikini then akajifika vazi la utetezi wao