Vibanda vilivyowekwa kando ya barabara Jijini Dar es Salaam kuondolewa

Vibanda vilivyowekwa kando ya barabara Jijini Dar es Salaam kuondolewa

Wazo zuri Jiji lazima lipangike liwe safi Biashara zitengewe maeneo Maalumu sio kila sehemu ni vibanda Angalia Posta Mpaka wachina Mahindi na viazi utadhani Mbagala Ofisi za Serikali Wamejaa Mama lishe shoe shines uchafu mtu
Mkuu wewe unaona uchafu, wenzako ndio mahali wanapotafuta riziki zao kwa ajili ya familia zao
 
Hawa wenye vibanda barabarani walidharau wafanyakazi wa serikalini

Kuna mmoja ana banda lake city center huwa naenda kula mahindi ya kuchoma kila jioni ananitambiaga huyo eti " kila siku mi nalaza elfu sitini, sasa msomi yeyote anaweza shindana na mimi kweli?" Kumbe ni dongo kwangu mwanzo sikuelewa

Sasa ndo atajua hajui[emoji848]
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani na walivo wengi. Yan walijiona wao ni jeshi
 
... safi sana! Mitaa ilichafuka mno! Wananchi watafutiwe maeneo bora na salama ya kufanyia shughuli zao badala ya hizi hadaa za kisiasa - WANYONGE!
Tayari wameshatafutiwa au watoke kwanza,
MAANA kilio chao toka zamani ni kuwa maranyinhi huwa wanapelekwa au kutengewa maeneo yasiyo na tija kwa biashara zao
Duh sijui itakuwaje
 
Kuna kijiwe fulani hivi cha kahawa huwa naendaga kunywa. Bwana hicho kijiwe kinachekesha jamani, kuna Mama ntilie kama watano hivi wamekuja kupika pika hapo, amekuja na shoe shine, wauza dawa za kiume., wachoma mishkaki hapo hapo wote hao wapo chini ya mti huo huo mmoja sema huo mti ni mkubwa
 
Kuna kijiwe fulani hivi cha kahawa huwa naendaga kunywa. Bwana hicho kijiwe kinachekesha jamani, kuna Mama ntilie kama watano hivi wamekuja kupika pika hapo, amekuja na shoe shine, wauza dawa za kiume., wachoma mishkaki hapo hapo wote hao wapo chini ya mti huo huo mmoja sema huo mti ni mkubwa
wanaingiza kipato cha kula na familia zao na kusogeza siku, Maisha magumu sana ila itabidi wkubaliane na hali halisi
 
Hawa wenye vibanda barabarani walidharau wafanyakazi wa serikalini

Kuna mmoja ana banda lake city center huwa naenda kula mahindi ya kuchoma kila jioni ananitambiaga huyo eti " kila siku mi nalaza elfu sitini, sasa msomi yeyote anaweza shindana na mimi kweli?" Kumbe ni dongo kwangu mwanzo sikuelewa

Sasa ndo atajua hajui[emoji848]
Wewe ulilipokea kama dongo, badala yakulipokea in positive way,
Utafakari ni namna gani utaongeza kipato chako na kujiinua zaidi ya hapo!

Tujitahidi kuwa na mawazo chanya kadri tuwezavyo..jamani (hata mimi na jifunza)

"Sasa ndio atajua hajui"- hii sasa ni chuki

"Hawa wenye vibanda barabarani walidharau wafanyakazi wa serikalini" - hapana sio wote, dharau hailetwi na kumiliki kibanda barabarani ni tabia tu ya mtu!
 
Hii kama ni kweli ,inafurahisa zaidi.Unajua wasiojua wanaweza sema ni uonevu,lakini ule uliliwa ni zaidi ya ujinga na fujo.Biashara mpaka barabarani kabisa,Kisa eti watu wamelipia elfu 20.Magari yanawakwepa wafanya biashara.mfano kuanzia Buguruni mpaka mnazi mmja barabara zote za waenda kwa miguu zilizgeuka masoko
Kariakoo njia ya mwendo kasi hakuna pakupita, ni kubanana hatari wamejaza vibanda tunapita yanapopita magari
 
Wewe ulilipokea kama dongo, badala yakulipokea in positive way,
Utafakari ni namna gani utaongeza kipato chako na kujiinua zaidi ya hapo!

Tujitahidi kuwa na mawazo chanya kadri tuwezavyo..jamani (hata mimi na jifunza)

"Sasa ndio atajua hajui"- hii sasa ni chuki

"Hawa wenye vibanda barabarani walidharau wafanyakazi wa serikalini" - hapana sio wote, dharau hailetwi na kumiliki kibanda barabarani ni tabia tu ya mtu!
Sawa mkuu
 
Wanyonge tukale wapi?.
Mtapata laana ya marehemu
Kwani mmeambiwa msiuze? Fanyeni biashara halali mahali panapofaa wateja watawafuata. Kwanza walio wengi biashara si zao wamewekwa na wakwepa kodi kwa ujira kiduchu. Acheni kudeka!
?
 
Back
Top Bottom