Vibarua kiwanda cha Bakhresa Buguruni

Itoshe kusema tu kwamba kupitia huu uzi nimejifunza kwamba nisiidharau kazi yangu ya Bodaboda maana nina degree yangu hapa inanifanya niidharau hii kazi ya Boda naona kama sistahili kuifanya kumbe kuna watu wanapigika kinoma tena kwa malipo madogo sana kwa siku nzima wakati mie kwenye boda naweza pata mara Tano ya wao [emoji119]

Maisha yamenifundisha kuwa ukitaka kuijua thamani ya neema yoyote uliyojaaliwa na M/Mungu basi jilinganishe na walio chini yako usijilinganishe na walio juu yako.
 
Ni hatari mimi nilipitia hiyo changamoto nikiwa mwanza,jamaa yangu akanambia pale nyakato still kazi nje nje akaniuliza utaweza?,nikaona kanidharau nikamwambia we nipeleke,nikashangaa jamaa alivyonifikisha pale akaniachia na nauli ya kurudia[emoji1787],
Wazee nilianza vikazi vidogo dogo,kifupi zilianza kupakuliwa nondo zilizoiva sasa kazi kuzibeba uku zinatoa mvuke,weeee,nilivua gloves na nilikaa masaa matatu,wiki nzima nilikuwa sina hali[emoji706]
 
Kabisa mkuu
 
🤣 duh sio poa
 
Hizi ni kazi ambazo zinatakiwa zifanywe na marobot lakini eti wanafanya binadamu ambao home kaiacha familia inayomsubiria awaletee mkate

Inatia huzuni sana kuona vijana wapo tayari kufanya kazi yeyote ku risk hadi maisha yao ili wamudu mahitaji matatu

Miezi minne iliyopita kuna mwanangu alikatika mkono wa kulia huko viwandani

Ule mkono haukukatika into two pieces ila ulisagika kwa kiwango ambacho hata mifupa haikuweza ku survive

Saizi namuona anahangaika na wanasheria kufatilia kuhusu kulipwa fidia
 
[emoji1787] duh sio poa
Mzee ni balaa tupu[emoji1787][emoji1787].
Kwanza wale wanaozifanya zile kazi wanajuana na wamesha fanana nazo,,
Niliisi kufa kabisaa nikawa naona nyota nyota machoni umo ndani joto lake kama jehanamu alafu nondo inatoka kwenye kinu ya moto inapita tu pale kwenye maji shwaaaa[emoji1787][emoji1787] inakuja na mvuke unashika tatu tatu unazikunja,weee kidogo niwe kama wale wacheza salakasi nilivyoziinamisha tu kurudi kidogo zinipeleke angani[emoji119][emoji119]
 
[emoji26][emoji17]ni uzuni sana zile kazi ni ngumu sana mimi nilikaa masaa matatu tu wala sikuomba ata mia mzee.
 
Elfu 4 kiwandani!
Kwa hiyo mama ntilie wanawalipa vizuri wafanyakazi wao kuliko hao matajiri [emoji15]
Sio efu 4 tu, sometimes hiyo hiyo unayoiona ndogo unaweza ukadhulumiwa usiipate hata kuipata

Hiyo 4k watu wanaikeshea usiku kucha tena kwa sheria ngumu na bado watu wanazisaka hizo ajira na bado wanakosa

Na kuna muda wanawake wanatoa hadi rushwa ya ngono ili waipate.

Njoo kwa Mo pale vingunguti mida ya asubuhi angalia getini namna watu wanavyo jishusha kuomba kibarua
 
dah inasikitisha
 
Habarini ndugu wana JamiiForums,

Hivi kiwanda cha Bakharesa pale Buguruni ni uhakika kupata kazi ya kibarua ukiwa na barua ya utambulisho wa makazi?

Na hivi wanalipa kwa siku au wiki?
Achana na kazi za viwandani hazina maslahi,chukua elfu 20 au 30 yako nenda kariakoo kanunue dawa za mbu,au pipi , au vidawa vya fungus au kujichua uza mtaani utakuja nishukuru achana na hizi kazi za utumwa
 
Umenichekesha sana km mazuri vile
 
Watu mna nn lkn mnachekesha sana dah ,eti sitosahau siku nilipotaka kufa pale kiwandan
 
Wanalipa elfu nne hadi tatu then Kazi ni kubeba viroba vya ngano kilo 50 na 25 Kuanzia asubuhi Hadi jioni na pia night shift hipo it about fucking job huyo Bakhressa Ni mpuuzi mmoja. Including Mo dewij and so called matajiri uchwara
Mtu yeyote bila kujali elimu , umri, na hali yake ya maisha anayekubali kutumikishwa hivyo kwa ujira wa elfu 4 basi hana akili kabisa.
 
Pole sana kiongozi
 
Vipi huko chuma kinaua?
 
Shukran sista
Hii kazi nilishaifanya ilinifaa sana kuingiza elfu 15 ni rahisi sana na hamna sheria za kukubana sijui ingia kazini saa ngapi no ,hakuna raha duniani km kujiajiri ila hii biashara ya kununua vitu vidogo kariakoo na kuvizungusha kwenye maduka ya mangi kwa bei ya jumla inalipa unachukua vitu km dawa ya mbu pipi, biscuit superglue nk ukienda siku ya kwanza ya pili utapata idea mpya uongeze nn all the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…