Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,278
Usikate tamaa. Kuna wakati wa Mungu ukifika huo hakuna atakayezuia. Omba sana usiache. Mkumbushe Mungu kwamba alipokuumba alikuleta na baraka zako hapa duniani ikiwemo kufanya kazi. Zidai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiajiriwa unafukuzwa kazi. Ukijiajiri biashara inafilisika. Utafanya nini?Aisee sijaelewa kabisa.
AmenUsikate tamaa. Kuna wakati wa Mungu ukifika huo hakuna atakayezuia. Omba sana usiache. Mkumbushe Mungu kwamba alipokuumba alikuleta na baraka zako hapa duniani ikiwemo kufanya kazi. Zidai.
Huo ushirikina kabsa (negative beliefs).....afu anamwambia mwenzake awe positive...Mkuu huo sio ushirikina🤣🤣🤣
Huo ushirikina kabsa (negative beliefs).....afu anamwambia mwenzake awe positive...
Ndo maana tunamkumbuka Jk...Kuna graduates fulani hapa SUA walipigwa tafu na jk...Sasa hivi ni mamilionea...!nakumbuka walipewa ardhi ya kutosha na mheshimiwa...! marais Mengine yamebaki kuua kuua raia tu..kufeli kupo mkuu hiyo haikwepeki...ni kusimama na kuanza upyaKuna graduates walifungua biashara kisha wakafilisika. Hawa nao unawaambiaje?
KWAHIYO MNA MSHAURI NINI MDOGO WANGU AMBAYE SAIZI YUPO ADVANCE LAKINI MIKWALA ALIYONAYO HAPA NYUMBANI ,
Mgesema pia taaluma zenu ingekuwa rahis kupeana taarifaNa iwe hivyo
Mku ni wazo zuri sanaNdo maana tunamkumbuka Jk...Kuna graduates fulani hapa SUA walipigwa tafu na jk...Sasa hivi ni mamilionea...!nakumbuka walipewa ardhi ya kutosha na mheshimiwa...! marais Mengine yamebaki kuua kuua raia tu..kufeli kupo mkuu hiyo haikwepeki...ni kusimama na kuanza upya
Mkuu tupo wengi kama wewe huu mwaka wangu wa tatu mtaani. Interview kama zote hamna hata moja nimefanikiwa. Inaumiza sana sanaNi muda sasa nimekuwa natafuta kazi zilizo za professional yangu na zisizo zangu Ila kikubwa nina uwezo wa kufanya kazi yoyote ile halali na ambayo inahitaji skills za kawaida na hata zile complicated maana naamini hamna kinachoshindikana ukiamua. Sasa tatzo huja hapa.
Nmehudhuria interview 16 mpaka sasa na kufika mpaka 10 Bora lakini mwishoni hii kitu inaitwa connection na kujuana inanifanya naishia kuwa na uzoefu mwingi wa kujibu maswali ya interview bila kuwa na mafanikio ya kazi.
Niseme Jambo moja kama wewe umetoka familia au ukoo ambao wewe ndo inahitaji ufanikiwe ili utengeneze hyo connection kwa wengine, basi kazi unayo maana nchi imegubikwa na rushwa za ngono na kujuana hadi sisi tunaotokea familia za kawaida hatupati haki ya kusikilzwa pamoja na uwezo au vipawa tulivyo navyo.
Kuna muda natamani nifanye biashara lakini nakumbuka lengo la kutafuta ajira pia ni kutaka kupata mtaji utakaoniwezesha kujiajiri ili nije nipambane na hii kitu sabu inauma sema hatuna pakwenda hadi inafika hatua inatubidi tukimbie mazingira tulioishi ili tusiwakatishe tamaa wadogo zetu wanaoaminishwa kupitia Elimu maisha yao yatabadilika, kwahiyo wakiwa wanatuona kaka zao tupo mitaani hatuna tunachofanya na ikiwa miaka kadhaa nyuma waliambiwa tupo vyuoni tunasoma na ikajulikana hivo kuwa sisi ni wasomi na mbaya zaidi wapo walioweka nia ya kutaka kufika hapa nilipo mimi.
Sasa je, wakajua uhalisia wa haya ninayopitia nani atapata moyo wakuendelea na Elimu?
All in all Kuna mafundisho mengi sana napitia japo najua ipo siku ntahitimu lakini nkifikiria pesa iliyowekezwa kwa shida na wazazi wangu ili mimi nisome wakijua ntawasaidia kulea wadogo zangu kumbe nimerud kuwa mzigo tena kwao.
Samahani kwa nitakayemuudhi na kwa aliye na wakati kama wangu ajipe moyo asikate tamaa kwani haya yote yana mwisho.
MMhh hapana aisee..ni Bora kugangamala Sana kabla batch nyingine hazijatoka..yaan ule mwaka unaomaliza piga ua galagalza hakikisha umepata pakujishikiza..Usikate tamaa amini kila mwaka watu Kama wewe wanaongezeka mtaani...kikubwa kutokata tamaa
Ni rahisi sana endapo kuna Fund za kutosha uliiandaa au ipo.MMhh hapana aisee..ni Bora kugangamala Sana kabla batch nyingine hazijatoka..yaan ule mwaka unaomaliza piga ua galagalza hakikisha umepata pakujishikiza..
Soma vzur hilo andko lako...apo ni Mwenyez Mungu ndie aliye yafanya maji kuwa yenye kufaa...Sio ushirikina hata kidogo.
Hata Kwenye Biblia chumvi imeandikwa.
2 Wafalme 2:21 BHN
Elisha akaenda kwenye chemchemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa; tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.”
Neno rahisi ni kuwa Chumvi ilitumika kutakasa yale maji.
And for sure this is not negative beliefs .
Mimi ninaye mjomba wangu ambaye biashara zake kubwa sana ilikufa enzi za JK. Huyu pia unasemaje?Ndo maana tunamkumbuka Jk...Kuna graduates fulani hapa SUA walipigwa tafu na jk...Sasa hivi ni mamilionea...!nakumbuka walipewa ardhi ya kutosha na mheshimiwa...! marais Mengine yamebaki kuua kuua raia tu..kufeli kupo mkuu hiyo haikwepeki...ni kusimama na kuanza upya
Wejamaa ulichofanya ni kuzungushazungusha lugha tu hapo kwani chumvi ya bahari kaiweka nani si Mungu...akisema aoge chumvi atoe nuksi hapo kaitakasa chumvi kivipi, sawa na kusemaSoma vzur hilo andko lako...apo ni Mwenyez Mungu ndie aliye yafanya maji kuwa yenye kufaa...
Sasa apo ni nguvu za Mungu na sio chumvi...ni swala la uelewa tuuh
Sasa ukimwambia mtu akaogee chumvi ili atao mikosi huoni unaipa chumvi nguvu badala ya Mungu,na hyo ndo shirki yenyewe.
Ni bora ukaiamini nguvu yako mwenyewe kuliko nguvu ya kitu....
But anyway a man become what he thinks about most of time...