Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Duuuh Jah asaidie kwa kweli, hali n mbaya sana
 
Mungu akupe hitaji la moyo wako...amini nakuambia haupo peke yako...tupo vijana wengi tunaopitia kwenye hali kama yako kikubwa ni kuto kukata tamaa tu.
 
Huo ushirikina kabsa (negative beliefs).....afu anamwambia mwenzake awe positive...


Sio ushirikina hata kidogo.

Hata Kwenye Biblia chumvi imeandikwa.

2 Wafalme 2:21 BHN

Elisha akaenda kwenye chemchemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa; tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.”

Neno rahisi ni kuwa Chumvi ilitumika kutakasa yale maji.

And for sure this is not negative beliefs .
 
Kuna graduates walifungua biashara kisha wakafilisika. Hawa nao unawaambiaje?
Ndo maana tunamkumbuka Jk...Kuna graduates fulani hapa SUA walipigwa tafu na jk...Sasa hivi ni mamilionea...!nakumbuka walipewa ardhi ya kutosha na mheshimiwa...! marais Mengine yamebaki kuua kuua raia tu..kufeli kupo mkuu hiyo haikwepeki...ni kusimama na kuanza upya
 
Mku ni wazo zuri sana
 
Mkuu tupo wengi kama wewe huu mwaka wangu wa tatu mtaani. Interview kama zote hamna hata moja nimefanikiwa. Inaumiza sana sana
 
Soma vzur hilo andko lako...apo ni Mwenyez Mungu ndie aliye yafanya maji kuwa yenye kufaa...

Sasa apo ni nguvu za Mungu na sio chumvi...ni swala la uelewa tuuh

Sasa ukimwambia mtu akaogee chumvi ili atao mikosi huoni unaipa chumvi nguvu badala ya Mungu,na hyo ndo shirki yenyewe.

Ni bora ukaiamini nguvu yako mwenyewe kuliko nguvu ya kitu....

But anyway a man become what he thinks about most of time...
 
Mimi ninaye mjomba wangu ambaye biashara zake kubwa sana ilikufa enzi za JK. Huyu pia unasemaje?
 
Wejamaa ulichofanya ni kuzungushazungusha lugha tu hapo kwani chumvi ya bahari kaiweka nani si Mungu...akisema aoge chumvi atoe nuksi hapo kaitakasa chumvi kivipi, sawa na kusema
1)soma uwe na maisha mazuri (je tumeitakasa elimu)
2)kula matunda upate afya (je limetakaswa tunda)

Kilichopo ni Mungu anatenda kupitia kisababishi (chumvi, matunda, elimu nk) sasa unapotamka sentensi humtaji Mungu ila Lawa ya ulimwengu ukitaja chochote basi nyuma yake umemtaja Mungu sasa ukisema umtaje Mungu utahitajika kumtaja kila sentensi.

Ni kwamba umechengesha lugha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…