Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Ahahaaa...

Mbna afya na nuksi vtu viwili tofauti kabsa mzee....

Au hujui nini maana ya nuksi na nini maana ya afya ili tuanze kuelimishana?

Ukisema matunda yanatoa nuksi hyo ni shirki....ni sawa na ukasema ukioga maji ya chumvi hutoa nuksi...

Watu huzaliwa na afya zao Ila nuksi/ husda/kijicho huzkuta duniani...ni darsa pana sana ndomana hatuelewani.
aah nimekupata tujikite kwenye nuksi.

Endapo Mungu ameweka maji ya chumvi kutoa nuksi endapo utayaoga So nikisema "maji ya chumvi yanatoa nuksi hii ni Shirki.
 
Ni kweli Ila dada yngu uku vyuoni wanafunz wengi tunajisahau Sana,tuna kesho usku na mchana kupambana na ma GPA yaani mtu hataki akose ata kipindi class....hataki kuangalia upande wa shilingi.

apo ndo utakuta mtu kamaliza chuo ana GPA ya first class,akikosa ajiri utamuonea huruma hajui wapi pa kuingilia wapi pa kutokea....coz muda mwingi ameupoteza kumtengeneza GPA ya ajira
Aiseee huu ni ukweli mtupu
 
Kuna kitu kimoja ambacho niligundua kipindi nipo juu ya mawe ni kwamba watanzania wengi ambao wana elimu ya juu hawana ujuzi wa shughuli za kawaida zinazoweza kuongoza kipato. Mtaji ulikua umekata nikapita sehemu wanapika chapati nzuri hatari nilipokula nikapata wazo kwamba ningependa kufanya ile kazi .

Siku iliyofuata nilirudi pale nikamuomba bosi nijifunze Ile kazi kwa kubembeleza sana,aliguswa nikaanza siku hiyo hiyo. Baada ya mwezi mmoja wa free labor kwake nikaondoka na ujuzi wangu nikaenda kufungua kijiwe changu cha jiko la mkaa. Sikuishia hapo nikawa naenda internet cafe maaana sikua na smartphone kucheki videos za kutengeneza sambusa,maandazi,half cakes nk.

Nikaongeza bidhaa kidogo kidogo nikawa napata hela ya kula pamoja na changamoto nyingine. Brother nakuomba give a try kuingia kwenye shughuli za utafutaji kivingine,usione aibu na hiyo degree wakati ukifika itatumika inavyostahili. Kama unamiliki smartphone sidhani kama utashindwa kununua jiko la mkaa,frying pan,meza ,dishi nk.

Kuna wakati mambo yalikua tight ikabidi nimuombe mtu mwenye duka niwe napikia mbele ya ofisi kwa malipo ya chapati 2 kila siku asubuhi,baadae alinielewa akawa ananunua kwa sababu aliguswa na ile spirit yangu ya kutokata tamaa . Zunguka na kutazama wapi unaweza ukaanzia ukipata ujuzi,aibu tupa kule hata mimi ni X- diaspora,X-machinga wa vitafunwa bado naendelea na maisha. Kila la heri
 
Wewe inaonekana kama vile unamlalamikia JPM juu ya kufa kwa biashara za watu wakati biashara kufa ni suala la kawaida sana.
Kufa biashara nyingi Sana zimekufa kipindi alipoingia jamaa yenu Hilo halifichiki...point yangu ni hiii...wanafunzi wangepewa chances kama Hizo ni rahisi kubebana na kutatua changamoto pamoja na kusonga mbele.. na mitaala ibadilishwe!
 
Wejamaa ulichofanya ni kuzungushazungusha lugha tu hapo kwani chumvi ya bahari kaiweka nani si Mungu...akisema aoge chumvi atoe nuksi hapo kaitakasa chumvi kivipi, sawa na kusema
1)soma uwe na maisha mazuri (je tumeitakasa elimu)
2)kula matunda upate afya (je limetakaswa tunda)

Kilichopo ni Mungu anatenda kupitia kisababishi (chumvi, matunda, elimu nk) sasa unapotamka sentensi humtaji Mungu ila Lawa ya ulimwengu ukitaja chochote basi nyuma yake umemtaja Mungu sasa ukisema umtaje Mungu utahitajika kumtaja kila sentensi.

Ni kwamba umechengesha lugha tu.
meneja kama meneja ABSA
 
Back
Top Bottom