Mimi mwenyewe huwa nashangaa waislamu kuchora picha za Muammar Gaddafi kwenye magari yao.Wengi huwa ni Wakristo, na huamini kupeperusha bendera ya Israel ni sawa na kuonesha wanakubaliana na Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo(Isreal)
Hiyo bendera ni mungu aliwapa Waisrael?
Yesu alivaa nini kama Si Kanzu ?Jiulize pia waislamu wanaovaa Hijabu na Kanzu wakidhani ni dini kumbe utamaduni wa Mwarabu.
Hahaha, eti walikuwa wakitangatanga tu. Wewe hujui chochote hata mjadala nawewe siwezi.Walikua wakitangatanga tu duniani,hata hapo Makkah na Madina mtume aliishi nao
Wewe unaandika UZUSHI na UMBEA.Qur'an inasema sijda ni athari ya kusujudu,hao waarabu wa hizo nchi zote za arabuni uliowaona(hongera kwa kufika nchi zote hizo na kuwaona wote) ambao hawana sijida itakuwa hawaswali
Hapo ndipo ulipoonesha kuwa hata ukipewa jibu hutaridhika, kwa sababu unaona bibilia inaingiza watu chaka, na wanaopeperusha watakujbu kwa mujibu wa bibilia.Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..
Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..
Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Hawana elimu nzuri ya Imani ndo maana wkao hivyo. Wanafuata kila wanachoambiwa na wachungaji waoWakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
[emoji38][emoji122]Israel Taifa teule...
Pale kwao wapo Milion Nane ila wamezungukwa na Waarabu zaidi ya Million 200 ila hakuna Mwarabu anae wasogelea[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sio kweli,waarabu hawazaani sana.Nchi nyingi za kiarabu,idadi ya watu,hawazidi milioni 4 kwa kila nchi,hasa zilizoko mashariki ya Kati,zinazopakana na Israel.Na vile vile nchi za kiarabu sio nyingi,hazizidi kumi,ukijumlisha na za kiarabu zilizoko bara la Afrika,ndio zinaweza kufika kama 22,na nyingi ziko mbali na Israel,halafu Hawa waarabu wamegawainyika,wapo wakristo na waislamu.Na sio nchi zote za kiarabu Zina ugomvi na Israel,ambao ni ugomvi wa kisiasa.Israel Taifa teule...
Pale kwao wapo Milion Nane ila wamezungukwa na Waarabu zaidi ya Million 200 ila hakuna Mwarabu anae wasogelea[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
kwanini?Biblia haisemi hivyo exactly...lakini Ukristo na Israeli haviwezi kutenganishwa as long tunazungumzia imani hii.
Hakuna cha kuingizwa chaka hapa. Hakuna mtu anayesema dini ya Israeli ni Ukristu. Kinachosemwa ni kwamba Kristu alikuwa Myahudi aliyezaliwa huko huko Israeli. Taifa lake mwenyewe walimkataa hadi wakamuua. Alidiriki hata kusema 'nabii hatambuliki kwao'. Kutambua mtu na kutambua nchi anakotoka ni vitu viwili tofauti. Kwa mfano kabla ya mwaka 1994 wakati Mandela alipokuwa bado gerezani, kuna watu wengi waliokuwa wakimtambua (pamoja na Serikali ya Tanzania) lakini walikuwa hawakubaliani na Serikali ya nchi yake ya Afrika ya Kusini. Yesu aliyeanzisha Ukristu, alizaliwa Bethlehemu huko Israeli. Maria, mama yake, na Yosefu, baba yake mlishi, walikuwa raia wa Israel. Aliteswa huko Kalvario, akatundikwa msalabani Golgota hadi akafa na kuzikwa huko. Wafuasi wa dini aliyoanzisha hawawezi kuacha kwenda kuzuru maeneo hayo eti kwa sabababu tu serikali yake hawakumkubali. Ni kweli kwamba takriban asilimia 85 ya watu wa Israeli dini yao ni Judaism na chini ya asilimia 5 ndiyo Wakristu, wanaomfuata mzawa wa huko Uyahudini. Wao walimkataa wakadiriki hata kumuambia Pilato, mkoloni wa Kirumi, kwamba wao wanamtambua Kaysari wa huko Roma, na siyo huyu mtoto wa nyumbani. Mtawala wanayemtambua ni huyo mfalme wa Roma.Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..
Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..
Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Ulitaka nchi ngapi za arabuni kwenye posti yako!?..Tena ukasema wote,kana kwamba ukifanya sensa ya sijda arabuniWewe unaandika UZUSHI na UMBEA.
Kwanza hakuna mahala nimesema nimetembelea nchi zote hizo. Kuwajua wahindi sio lazima ufike New Delhi au Bombay
Kwahiyo ninyi mnasali sana kuliko waarabu sio?
Hutaki au!!?...Ben guria alijiegemeza uturuki kabla ya kung'amua magharibi ndiyo Wana nguvu,kabla ya hapo walikua wamesambaa tu,wengi tu wakiwa Iran,huko bc(Saul & co) hapakua na nchi ya israelHahaha, eti walikuwa wakitangatanga tu. Wewe hujui chochote hata mjadala nawewe siwezi.
Nilitaka lini?Ulitaka nchi ngapi za arabuni kwenye posti yako!?..Tena ukasema wote,kana kwamba ukifanya sensa ya sijda arabuni
Ulitaja nchi zaidi ya tatu za arabuni kwamba waarabu hawana sijda,ulijuaje?Nilitaka lini?
Tanzania ilianza kuwepo 1964, kabla ya hapo haikuwepo? Kabla ya 1964 hakukuwa na taifa linaitwa Tanzania.Hahaha....!
Iliundwa kwa mara ya ngapi? Haikuwepo kabla?
Kutaja habari kuhusu wahindi ni lazima niwe nimetembelea India?Ulitaja nchi zaidi ya tatu za arabuni kwamba waarabu hawana sijda,ulijuaje?