6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Ni kosa kosheria kuva nembo za taifa la tz , iw e culture, zile skafu, au kupeperusha bendera zenye bedera ya tzyaani watu baadala ya kuonyesha uzalendo kwa kutumia bendera za nchi zao na asili za mababu zao wako busy kutukuza mataifa mengine, purely brainwashed Africans.
Huu mimi naona ni ushamba, ulimbukeni na ujuha Mtanzania mzaramo/mnyaki /msukuma/ Mchaga eti analitukuza Taifa la Israeli baadala ya kuitukuza na kuipenda nchi yake Tanzania..