Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Sijui.Unafikiri sijida hutokana na nini!?
Ila naamini unaweza kunisaidia kujibu swali langu kwanza wakati natafuta jibu la nini sababu ya Sijda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui.Unafikiri sijida hutokana na nini!?
Mimi nimeuliza kuhusu yuda eskariote,aliyefanikisha yesu kukamatwa,kusulubiwa na kutimiza agano,so kafanya Jambo jema!!!..unaniletea stori nyingi!!Hapana,
Ila unapaswa Kujua Kwamba Yesu Alikufa Ili Damu yake Imwagike Kusudi lipatikane Agano Jipya
Kwa Hyo Yesu Asingekufa Basi Isingemwagika Damu na Kama Damu Isingemwagika Kusingekuwa na Ukombozi kwa Waliopotea.....
Kwa Hyo Yesu alijua kabisa Ni lazima Afe..
Ndyo maana Petro alipomshauri Asisulubiwe Yesu Alimkemea
Mathayo 16:21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.
22 Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, Hasha, Bwana, hayo hayatakupata.
23 Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu
Kwa hyo Basi ulikuwa Ni mpango wa Mungu Yesu Afe
Hahaha....!Israel imeundwa na uingereza na ufaransa(picot-sykes) kwa lengo la kuwavuruga waarabu,USA anatoa msaada wa Hali na Mali,fikiria isingekuwepo Israel waarabu wangekuwa wamoja kiasi gani na wangekua na nguvu kiasi gani!!?
Ukiswali inatoka,usiposwali haitokeiSijui.
Ila naamini unaweza kunisaidia kujibu swali langu kwanza wakati natafuta jibu la nini sababu ya Sijda.
Umesema "Waarabu" ndio nikakuquote.Sijawazungumzia hao wale wanaotaka kuwadhuru wale wajomba
Hapajawahi kuwa na taifa la Israel kablaHahaha....!
Iliundwa kwa mara ya ngapi? Haikuwepo kabla?
Wewe unataka kumanisha sisi RC tukiangia nyumba za ibaada na Rozari zetu ni sawasa tumeingia na hilizi? Au mimi ndo cjakuelewa?Nipo very serious na logical kabisa. Hakuna tofauti yoyote kwasababu zote ni zana za Imani tu.
Hirizi ni ya asili ya kiafrika/ kibongo na Rozari ni ya kirumi.
Na hao wa bendera ni Imani yao juu ya Taifa la Israel
That's all!
Ndiyo maana yakeWewe unataka kumanisha sisi RC tukiangia nyumba za ibaada na Rozari zetu nisawasa tumeingia na hilizi? Au mimi ndo cojakuelewa?
Hapana Yuda hakwenda Peponi ...Mimi nimeuliza kuhusu yuda eskariote,aliyefanikisha yesu kukamatwa,kusulubiwa na kutimiza agano,so kafanya Jambo jema!!!..unaniletea stori nyingi!!
Nahisi siwezi hata kujadiliana nawewe katika hili kwasababu unaonekana hujui chochote kuhusiana na historia ya nchi hizi.Hapajawahi kuwa na taifa la Israel kabla
Soma vizuri utanielewa, usinilishe maneno.Wewe unataka kumanisha sisi RC tukiangia nyumba za ibaada na Rozari zetu nisawasa tumeingia na hilizi? Au mimi ndo cojakuelewa?
Sio tu bendera ya Israel Hadi bendera ya America unakuta mtu kwaweka cha ajabu hakuna hata ya TanzaniaWakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Walokole wana ulimbukeni fulani hiviWengi wao ni religious fanatics hususani new born again Christians, wakati wa Usrael wana pinga ukuristu.
Africa is a continent of confused fellows
Maadamu Sheria Za Nchi Yetu hazikatazi Basi cyo Kosa....Sio tu bendera ya Israel Hadi bendera ya America unakuta mtu kwaweka cha ajabu hakuna hata ya Tanzania
Naomba unijibu kuhusu suala la SIJDA, mbona waarabu wa Saudi Arabia, Yemen, Qatar, Egypt na kwingineko wanaswali lakini hawana sijda kama walizonazo Wabongo?Hapajawahi kuwa na taifa la Israel kabla
Kwahiyo cc wa RC ni washirikina au unatania tu?Ndiyo maana yake
Ushirikina ni nini?Kwahiyo cc wa RC ni washirikina au unatania tu?
Toa sababu tano kwanini yuda hakuingia peponi, wakati yeye ndo alifanikisha mpango mzima wa YesuHapana Yuda hakwenda Peponi ...
Na Hata Yesu wakati anapeleka Feedback alimtolea Ripoti..