Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Kama hujui Sasa Kitendo Cha Wayahudi kumsulibisha Yesu Kristo Ni Jambo zuri Sana Sana kwetu Wakristo....na Wasingemsulubusha tungepata hasara kubwa Sana......

Wayahudi walifanya kazi Nzuri Sana mbele za Mungu Kumsulibisha Yesu
Kwa hiyo yuda eskariot atakua ndani ya ufalme wa milele na bwana yesu!?
 
Wala Sijapanic Ila Suala la Wayahudi Kuwachukia Wakristo cyo Kigezo Cha Wakristo nao Kuwachukia Wayahudi...
Huko Saudia Kuna Dada zetu wengi Sana wanatumikishwa Kikatili Kazi za Ndani Mpaka Leo lakini Bado Tunawaheshimu Waarabu na waTZ wanaenda Kuhiji Saudia
Wanatumikishwa kikatili na hawarudi..bdo wanaenda tu!!
 
Hivi kwani Rozali ni ya Tanzania? Una uhusiano nayo wowote? Asili yake sio Vatican/ Italy penye misingi ya Roman Catholic?

Hakuna utofauti wowote. Ungekuwa umetundika hirizi ya kutoka Tanga au Mtwara kwenye gari sawa...ila Rozari ni walewale wazungu.
Hahaha...Mkuu uwe serious kama rozari elianzia Vatican kwa paps ambae ni kiongozi wa RC na mimi ni RC, si unaona nafanya ibaada yangu kuomba mama Maria mama wa Mungu kupitia hiyo razari kwanini uilinganishe na hilizi ya kutoka Tanga au Mtwara tutaki radhi tafadhari
 
Wala Sijapanic Ila Suala la Wayahudi Kuwachukia Wakristo cyo Kigezo Cha Wakristo nao Kuwachukia Wayahudi...
Huko Saudia Kuna Dada zetu wengi Sana wanatumikishwa Kikatili Kazi za Ndani Mpaka Leo lakini Bado Tunawaheshimu Waarabu na waTZ wanaenda Kuhiji Saudia
Sorry, out of topic, Hivi mbona Waarabu hawana sijda kama wabongo waitwao itikadi kali?
 
Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..

Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..

Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Mimi siyo muhubiri, lakini kwa uelewa wangu, kiimani inaeleweka kwa nini wayahudi siyo wakristo....na kwa mkristo hiyo ya wayahudi kumkataa Kristo ilifungua milango kwa watu wa mataifa mengine. Ni ngumu na si sahihi kutumia macho ya imani zingine kuuelewa ukristo. Kuna imani ambazo kwa mapokeo yao: wanategemea/wangeridhika kuona chuki kutoka kwa wakristo kwenda kwa wayahudi kitu ambacho hakiwezekani.
Mtu ambaye kwa mfano hajawahi kula pilau au ugali au pizza au pula, ni vigumu sana kumuelewa kwa usahihi aliyewahi kula chakula ambacho yeye hajawahi kuonja.
Kibiblia wakati wa wayahudi utarudi tena!
 
Nyie mnaanza kuchanganya na kuaanza kupalalia ndini nyingine mleta uzi ajagusa dini nyingine kaleta mada ambao sio ya kidini, uislamu jnaingia je hapa
Wewe ndiye ulieingiza udini rejea post yako # 9
 
Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..

Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..

Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Hili hapa ndio ulitakiwa uandike kwenye main post...hilo swali ni geresha tu lengo lilikuwa hapa
 
Hahaha...Mkuu uwe serious kama rozari elianzia Vatican kwa paps ambae ni kiongozi wa RC na mimi ni RC, si unaona nafanya ibaada yangu kuomba mama Maria mama wa Mungu kupitia hiyo razari kwanini uilinganishe na hilizi ya kutoka Tanga au Mtwara tutaki radhi tafadhari
Nipo very serious na logical kabisa. Hakuna tofauti yoyote kwasababu zote ni zana za Imani tu.

Hirizi ni ya asili ya kiafrika/ kibongo na Rozari ni ya kirumi.

Na hao wa bendera ni Imani yao juu ya Taifa la Israel

That's all!
 
W
Siyo waarab million 200 bali waarab Zaid ya million 500
Wakizingua wanakula kichapo Daily na hawa jama sijaskia wakiwekewa vikwazo.
Ndo utajua ni taifa teule.
Wakijiskia wanashusha gorofa lolote...Mfano gotofa lile la waarabu wa Aljazira.
Ngoma ilienda chini... Na na mpaka leo kimyaaaaa
 
Kwa hiyo yuda eskariot atakua ndani ya ufalme wa milele na bwana yesu!?
Hapana,
Ila unapaswa Kujua Kwamba Yesu Alikufa Ili Damu yake Imwagike Kusudi lipatikane Agano Jipya
Kwa Hyo Yesu Asingekufa Basi Isingemwagika Damu na Kama Damu Isingemwagika Kusingekuwa na Ukombozi kwa Waliopotea.....

Kwa Hyo Yesu alijua kabisa Ni lazima Afe..
Ndyo maana Petro alipomshauri Asisulubiwe Yesu Alimkemea
Mathayo 16:21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.
22 Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, Hasha, Bwana, hayo hayatakupata.
23 Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu

Kwa hyo Basi ulikuwa Ni mpango wa Mungu Yesu Afe
 
Siyo waarab million 200 bali waarab Zaid ya million 500
Israel imeundwa na uingereza na ufaransa(picot-sykes) kwa lengo la kuwavuruga waarabu,USA anatoa msaada wa Hali na Mali,fikiria isingekuwepo Israel waarabu wangekuwa wamoja kiasi gani na wangekua na nguvu kiasi gani!!?
 
Sas
kuna Mengi usiyoyajua, Hakuna Taifa teule duniani, Wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu tumeletwa duniani kuishi na kumuabudu.... Hizo ni cooked stories kubrainwash wazaramo na kuwin mass support worldwide...

Hindu nao kupitia chao watakwambia INDIA ndio Taifa teule, Muslims nao kupitia kitabu chao watakwambia SAUDIA ni taifa teule...
Sasa si tunajionea maisha yao na tech zao mfano tuu...Watsap Fb wao ndo waanzilishi.
Kwa kifupi wananguvu za Mungu hilo liko wazi na ndo maana Marekani ana msujudu
 
Back
Top Bottom