Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Naomba unijibu kuhusu suala la SIJDA, mbona waarabu wa Saudi Arabia, Yemen, Qatar, Egypt na kwingineko wanaswali lakini hawana sijda kama walizonazo Wabongo?
Qur'an inasema sijda ni athari ya kusujudu,hao waarabu wa hizo nchi zote za arabuni uliowaona(hongera kwa kufika nchi zote hizo na kuwaona wote) ambao hawana sijida itakuwa hawaswali
 
Nahisi siwezi hata kujadiliana nawewe katika hili kwasababu unaonekana hujui chochote kuhusiana na historia ya nchi hizi.

Quran na vitabu ya hadithi za Mtume zinabainisha kuwa Wayahudi walikuwa katika Taifa lipi enzi za Mtume Muhammad (S.A.W)
Walikua wakitangatanga tu duniani,hata hapo Makkah na Madina mtume aliishi nao
 
Toa sababu tano kwanini yuda hakuingia peponi, wakati yeye ndo alifanikisha mpango mzima wa Yesu
Maadamu Biblia Haijaandika hizo sababu za Yuda kutokuingia Peponi Basi Na Mimi Sina Cha Kukuambia

Ila Suala la kwamba Kifo Cha Yesu Ni mpango wa Mungu Hilo Nina Uhakika nalo kwa maana limeandikwa.. katika

Marko 8:31 Akaanza kuwafundisha kwamba imempasa Mwana wa Adamu kupatikana na mateso mengi, na kukataliwa na wazee, na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na baada ya siku tatu kufufuka.

32 Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.

33 Akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, akasema, Nenda nyuma yangu, Shetani; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu
 
Maadamu Biblia Haijaandika hizo sababu za Yuda kutokuingia Peponi Basi Na Mimi Sina Cha Kukuambia

Ila Suala la kwamba Kifo Cha Yesu Ni mpango wa Mungu Hilo Nina Uhakika nalo kwa maana limeandikwa.. katika

Marko 8:31 Akaanza kuwafundisha kwamba imempasa Mwana wa Adamu kupatikana na mateso mengi, na kukataliwa na wazee, na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na baada ya siku tatu kufufuka.

32 Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.

33 Akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, akasema, Nenda nyuma yangu, Shetani; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu
Sasa hapo ndo ugundue kwamba stori ya Yesu ya kusulumbiwa ni ya kubuni tu, haina uhalisia wowote..........sema tu sie wa Africa ndotulivo kufuata kila stori
 
Sasa hapo ndo ugundua kwamba stori ya Yesu ya kusulumbiwa ni ya kubuni tu, haina uhalisia wowote..........sema tu sie wa Africa ndotulivo kufuata kila stori
Umesema kwamba wewe Ni Mkatoliki Je Ukatoliki alianzisha Nani? Je na Wenyewe Ni wa kubuni Hauna uhalisia Wowote?
 
Wala Sijapanic Ila Suala la Wayahudi Kuwachukia Wakristo cyo Kigezo Cha Wakristo nao Kuwachukia Wayahudi...
Huko Saudia Kuna Dada zetu wengi Sana wanatumikishwa Kikatili Kazi za Ndani Mpaka Leo lakini Bado Tunawaheshimu Waarabu na waTZ wanaenda Kuhiji Saudia
Basi watanzania tuna upendo wa mshumaa.....kwa nini tusiweke bendera zetu?kwa nini tunaweka bendera zao?je wao wanaweka bendera zetu?Tujitambue jamani
 
Basi watanzania tuna upendo wa mshumaa.....kwa nini tusiweke bendera zetu?kwa nini tunaweka bendera zao?je wao wanaweka bendera zetu?Tujitambue jamani
Maadamu Sheria Za Nchi Yetu hazijakataza Basi siyo Kosa
 
That's a problem.

Israel hii yenye ufirauni wa hatari wakristo sisi tunaliona ni Taifa teule na nyumbani kwa wakristo wote..
mawazo yako yana make sense Ila ni ya kishamba sana.
No kazi sana kumueducate educated person like you
 
Wengi wao ni religious fanatics hususana new born again Christians..........wakati wa Usrael wana pinga ukuristu!!!! Africa is a continent of confused fellows
Una uhakika wa Israel wanapinga ukristo? Kwa sababu zipi? Kwani usipokuwa mwislam maana yake unapinga uislam?
 
Una uhakika wa Israel wanapinga ukristo? Kwa sababu zipi? Kwani usipokuwa mwislam maana yake unapinga uislam?
Unajua kwanini Yesu alisulumbiwa na Mayahudi? Unajua kwanini yesu kwa umri wa miaka 33, alikimbia wa ya hudi?.........ukijibu hayo ndo utajua kama Mayahudi wanapenda ukoristo au laa
 
Unajua kwanini Yesu alisulumbiwa na Mayahudi? Unajua kwanini yesu kwa umri wa miaka 33, alikimbia wa ya hudi?.........ukijibu hayo ndo utajua kama Mayahudi wanapenda ukoristo au laa
Hujaninibu swali langu nililokuuliza Kuhusu Ukatoliki..
 
Una uhakika wa Israel wanapinga ukristo? Kwa sababu zipi? Kwani usipokuwa mwislam maana yake unapinga uislam?
Ndio wanapinga ukristo,wanadai messiah bado hajazialiwa,huyu aliyesulubiw sio Yule aliyetabiriwa,wao wanangoja Messiah wa kweli
 
Mara paap, Tanzania ndio nchi ya ahadi walioahidiwa mababu wa israel.

Tutapoteza wengi sana pakitokea vita kati ya Tanzania na Israeli.

Na wale jamaa wakisema kesho tu, hii ndio nchi yao ya ahadi walioahidiwa lazima majamaa yawaunge mkono with reference to the bible.. yatakuwa tayari hata kuwaua wamakonde wenzao ili kuwasaidia waisraeli aka Taifa teule ( ukiwabariki nawe umebarikiwa reference ni bible ambayo imeandikwa na wenyewe)....
 
Kuna ile kanuni kwamba atakayeibariki Israel naye atabarikiwa. Hivyo kuweka hizo bendera ni ishara kwamba wanaiunga mkono Israel na wanaibariki.
 
Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..

Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..

Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?


Hapana hatujaingizwa chaka, ila hawa watu waisrael wanahangaika sana na Mungu, wanahama hama tu, na usisahau kuwa wengi walimktaa Kristo na wakamuua.
 
Back
Top Bottom