Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

Sio hilo la leo wewe. Bibilia ata hamuielewi. Unadhani Israel inayoongelewa ndio hii ya leo ya madhalim?
 

Ni ushenzi tu na upumbavu wetu Wakristu. Tunaiabudu Israeli wakati ni taifa gaidi tu kama ISIS
 
Nchi ni ujinga ulioundwa na binadamu ili kuwatawala wengine hivyo basi bendera ni kitu cha kufikirika tu wala sio halisi ndio maana viumbe visivyo na mawasiliano na binadamu havina bendera.
Zamani babu zetu waliamua kwenda kuishi popote baadae ukaja ukoloni wa vi inchi.
Binadamu kanyang'anywa uhuru wake na kufugwa kama kuku.
Mimi ukiniambia bandera naona ni alama ya ujinga wa binadamu.
Hakuna kitu kinaitwa islael wala Tanzania, hizo nchi zinaishi kwenye vita vya binadamu ki uhalisia hazipo.
Ipo siku binadamu watakuwa hiru dhidi ya tuvikunfi tulichojipa jina la la serikali tunalinda bendera.
 
Pamoja na ukristo wetu,tuwe na tabia ya kutafakari Mambo kwa kina..
Sawa Halima, wee tuachie Ukristo wetu endelea na dini yako mbona hakuna mtu aliyewauliza mkivaa hijabu,!!
 
Karibuni kwenye njia iliyo nyooka njia ya Allah.
 
Sawa Halima, wee tuachie Ukristo wetu endelea na dini yako mbona hakuna mtu aliyewauliza mkivaa hijabu,!!
Sijawahi kuwa Halima Wala Amina na haitokaa itokee,Mimi na wewe pengine tu wa Imani moja,Ila Kuna vitu yatupasa kutafakari kama wakristo, wakristo tumegeuka vituko,kila ukiingia mitandaoni unakutana na clip za aibu,hao mitume na manabii wanafanya Mambo ya ajabu wakristo mnafuata tu Kama kondoo wanapelekwa machinjioni,ndugu tafakarii ,neno la Mungu linasema"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"ndio maarifa yenyewe yanayoongelewa,utapata vipi hayo maarifa inatakiwa usome,ongeza elimu ndio maana mithali 4:13,unakumbushwa "mshike Sana elimu usimuache aende zake"....jamani wakristo wenzangu tuwe tunatafakari Mambo sio kukurupuka... Sasa vibendera vimekuwa vibendera khaaaaa
 
Ndugu zetu Walokole wameanza lini kuabudu Bendera za Nchi za nje?
 
Wengi huwa ni Wakristo, na huamini kupeperusha bendera ya Israel ni sawa na kuonesha wanakubaliana na Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo(Isreal)
Ibrahim hakua Muisrael ni MUARABU wa Iraq..... Na Yakobo mnayemuita Israel wake zake wawili ambao alizaa naye watoto zaidi ni Kutoka Syria.
 
Israel Taifa teule...

Pale kwao wapo Milion Nane ila wamezungukwa na Waarabu zaidi ya Million 200 ila hakuna Mwarabu anae wasogelea[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Taifa teule kisa haivamiwi? Mbona Hitler aliwachinja 6 Million ama Mbona Roman Empire iliifuta kabisa taifa la Israel wakaenda utumwani hadi makabila 10 yakapotea hadi leo?

Israel ipo pale sababu ya marekani kumwaga matrillion kila mwaka so kuhusianisha na Mungu ni kupotosha maandiko. Kwenye Bible israel haikua na silaha kuliko majirani ila walishinda vita coz ya nguvu za Mungu ila hawa matapeli wa ssa wanategemea silaha kubwa ndio washinde ssa how doesit affiliate na nguvu za Mungu??
 
Ibrahim hakua Muisrael ni MUARABU wa Iraq..... Na Yakobo mnayemuita Israel wake zake wawili ambao alizaa naye watoto zaidi ni Kutoka Syria.
Ibrahimu atakuwa je Muarabu wa Iraq na wake za Yakobo wawe wasiria, wakati Yakobo alienda kuoa ndugu yake alipokuwa amezaliwa Ibrahimu na mkewe?
 
Na waisrael pia wanaweka vibendera vya Tanzania kwenye magari/pikipiki/bajaji zao?
 
Bongo wanajifanya bendera ni kama kitu kitakatifu..wakati viongozi unafiki tu umewajaa..watupe ruhusa tuninginize bendera ya taifa majumbani kwetu.

#MaendeleoHayanaChama
Hahahaha hakika hilo balaa jingine sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…