nakula normal sana, tena had cleansing nafanya kila mweziTatizo lipo kwenye unachokula,wanga,sukari,juice vinatesa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakula normal sana, tena had cleansing nafanya kila mweziTatizo lipo kwenye unachokula,wanga,sukari,juice vinatesa sana
Hahaaa kwa ulaji huu unene haki yakoHahahaa unashindia mtindi? Aku...siwezi mie hapa nimekula slace za maana 4 zina siagi karanga na chai ya haja ..nimeagiza ubuyu nile weee...saa 7 nakula lunch...saa10 naweza kaanga mayai nile na wanangu ..12 nakunywa maziwa moto(kuna baridi) saa2 dinner .! Kutoka hapo nakula bites had nalala[emoji2223]
Usijisifu kua huna bp, kama una sedentary life style huna miaka mingi hypertension itakuandamaMm siwez tembea daily..mara moha moja sana..ah sina presha wala bp ya nn kujitesa
Itakua ngumu aise...Usijisifu kua huna bp, kama una sedentary life style huna miaka mingi hypertension itakuandama
Ntakutafuta tufarijiane..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa sasa kiukweli nimeamua nimepunguza mno kula japo vishawishi vingi mno katika kipindi hiki nilikutana na offer moja ninayoipenda lunch wali samaki mkubwa na maharage na saladi nikasema pita kule.
siku nyingine nikakutana na ugali makange angalau hapa nikaagiza ndizi za kuchoma na mishkaki miwili
kiukweli naenda vizuri japo kuacha soda sio mchezo nimefanikiwa kwa sasa.
karibuNtakutafuta tufarijiane..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]