Vibonge tambueni kuna tofauti ya kula chakula kingi na kula kula ovyo

Vibonge tambueni kuna tofauti ya kula chakula kingi na kula kula ovyo

Kupungua inahitaji wito sana aise..ujitoe haswa
kwa sasa kiukweli nimeamua nimepunguza mno kula japo vishawishi vingi mno katika kipindi hiki nilikutana na offer moja ninayoipenda lunch wali samaki mkubwa na maharage na saladi nikasema pita kule.
siku nyingine nikakutana na ugali makange angalau hapa nikaagiza ndizi za kuchoma na mishkaki miwili
kiukweli naenda vizuri japo kuacha soda sio mchezo nimefanikiwa kwa sasa.
 
anza kupunguza chakula hasa jioni ikumbukwe kuwa njaa iko kichwani lakini tumbo ni stoo tu hivyo kula kidogo
Kabisa mkuu, nilijaribu kufata nikafanikiwa,ukiwa mnene njaa ikiuma unaeza hisi unakufa😁
 
Kabisa mkuu, nilijaribu kufata nikafanikiwa,ukiwa mnene njaa ikiuma unaeza hisi unakufa😁
maji ni ya msingi sana kipindi hiki na kuongeza movement tunahitaji kupungua ila huu ukali wenu wa maneno ni hatari.
siku moja nilikaa na watu walinishambulia kuhusu unene nikawajibu kwani nimewaambia kuwa nataka kupungua nilijitetea mpaka wakacheka lakni ndani kwangu nilijua hii leo nimepigwa.
 
kwa sasa kiukweli nimeamua nimepunguza mno kula japo vishawishi vingi mno katika kipindi hiki nilikutana na offer moja ninayoipenda lunch wali samaki mkubwa na maharage na saladi nikasema pita kule.
siku nyingine nikakutana na ugali makange angalau hapa nikaagiza ndizi za kuchoma na mishkaki miwili
kiukweli naenda vizuri japo kuacha soda sio mchezo nimefanikiwa kwa sasa.
🤣🤣🤣🤣! Mimi coke sijui kama nimelogezewa...dah...! Siwez acha kula nyama au samaki...kitu sili kbs ni pork
 
maji ni ya msingi sana kipindi hiki na kuongeza movement tunahitaji kupungua ila huu ukali wenu wa maneno ni hatari.
siku moja nilikaa na watu walinishambulia kuhusu unene nikawajibu kwani nimewaambia kuwa nataka kupungua nilijitetea mpaka wakacheka lakni ndani kwangu nilijua hii leo nimepigwa.
We ni ke
 
Kuna ulaji unaosababishwa na stress..... Huu upo sana especially kwa akina dada wanakuwa wanakula sana fast foods a.k.a Junkfoods matokeo yake wanakuwa na vitambi na matumbo kama mbuzi mwenye mimba au chura.
 
maji ni ya msingi sana kipindi hiki na kuongeza movement tunahitaji kupungua ila huu ukali wenu wa maneno ni hatari.
siku moja nilikaa na watu walinishambulia kuhusu unene nikawajibu kwani nimewaambia kuwa nataka kupungua nilijitetea mpaka wakacheka lakni ndani kwangu nilijua hii leo nimepigwa.
Kauli yako hii ya "njaa iko akilini tumboni ni store tu" nitaitumia sana kuwasaidia vibonge wanye bidii ya kupungua
 
Hahahaa unashindia mtindi? Aku...siwezi mie hapa nimekula slace za maana 4 zina siagi karanga na chai ya haja ..nimeagiza ubuyu nile weee...saa 7 nakula lunch...saa10 naweza kaanga mayai nile na wanangu ..12 nakunywa maziwa moto(kuna baridi) saa2 dinner .! Kutoka hapo nakula bites had nalala🤸‍♂️
Haaaa!

Yani kutwa nzima unakung'uta tu misosi😀😀😀 hapa lazima mtu ufumuke.
 
Back
Top Bottom