MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Nitatoa waraka na pengine kuangalia uwezekano wa kesi ya madaiNilinde kwakweli tusidhurike na mawe ya humu😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitatoa waraka na pengine kuangalia uwezekano wa kesi ya madaiNilinde kwakweli tusidhurike na mawe ya humu😊
Ah mie nna appetite sio ya nchi hii .napenda kupika..automatic nakula kila mara..uzuri wangu mm hata niugue vipi sikongoroki...kula kunanisaidia...mie hata niumwe vip menu naging fresh tu! Life is too short😋🤭Mzanaki na ubonge wapi na wapi🤣
sijafika hapa jama🥺
Asante studio, m napika lakini naenda kugawa nikiwa alone ndo sili kabisa. juisi tu au mtindi i call it a dayAh mie nna appetite sio ya nchi hii .napenda kupika..automatic nakula kila mara..uzuri wangu mm hata niugue vipi sikongoroki...kula kunanisaidia...mie hata niumwe vip menu naging fresh tu! Life is too short😋🤭
🤣🤣🤣 mie kiuno nw ni 34(kutoka 30)..hips nakaribia 50 huko(kutoka 44)! Acha tunenepe twende na SAMIAHivi mwanamke akiwa kibonge kiuno huwa kinaanzia wapi vile? Wangari Maathai
2 yangu ..sina roho mbaya mie..roho ya kwanin akuuKwa hiyo no.3 ni yako?
kiuno sijawahi pima karbuni. ila nkinunua suruali mi navaa size 20🤣🤣🤣 mie kiuno nw ni 34(kutoka 30)..hips nakaribia 50 huko(kutoka 44)! Acha tunenepe twende na SAMIA
Kula ni vizuri, ingawa unatakiwa tu ujiepushe kula kula hasa kama kazi zako siyo za kutumia nguvu.Ah mie nna appetite sio ya nchi hii .napenda kupika..automatic nakula kila mara..uzuri wangu mm hata niugue vipi sikongoroki...kula kunanisaidia...mie hata niumwe vip menu naging fresh tu! Life is too short😋🤭
Kutokua na mpaka ndo aje? mm navaa suruali na nanoga sina unene huo wa kutovaa, navaa had tight ndefu mmMama achana na suruali kama kiuno na hips havina mpaka
kdg ntume pcha😁😁Huenda wewe ukawa na shep nzuri na sio unene uliopitiliza
Kuna point moja watu wengi wanashindwa kuielewa.Nimejaribu kuchunguza sana, vibonge kweli ubonge umekuja wenyewe au umejitakia au umerithi?
1. Kweli kuna unene wa kurithi lakini unue ni ugonjwa,lazma ufanye upasuaji au umtafute daktari kwa ushauri zaidi...